NKUU SINDE KWETU
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 830
- 91
Wanajukwaa Salaam,
Kila nchi na kila mtu ana shujaa wake. Hii inatokana na mafanikio/mabadiliko fulani aliyoyapata katika kipindi fulani.
Nani shujaa wako kwa Tanzania yetu hii, mpaka hapa tulipo?? Hivi Tanzania inaweza kuwa kama Brunei??
Kila nchi na kila mtu ana shujaa wake. Hii inatokana na mafanikio/mabadiliko fulani aliyoyapata katika kipindi fulani.
Nani shujaa wako kwa Tanzania yetu hii, mpaka hapa tulipo?? Hivi Tanzania inaweza kuwa kama Brunei??