Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,758
- 14,687
ACHA UMBEA NENDA KAFANYE KAZI WEWEEE
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🥴🤮
Ningemjibu hivi..."ukiona anajikuna sana jua anawashwa"simpo ansaUnajuwa maswali mengine unabakia kucheka tu
Kuna mtoto wa Kakangu kapata bwana ana miaka 23, sasa huyo bwana kamtoa out ...
Mtoto wa kaka tuseme anaitwa Selina na Bwanake anaitwa Peter
Sasa walipokuwa wanashuka kwenye gari wakiwa wanaelekea kwenye hotel kupata lunch weekend ... Mwanaume kila saa anajishika shika Sehemu zake za Siri anajikuna
Mwanaume kafanya marathon ya 1... 2... 3... 4... 5.. siku hio hio moja
Selina akawa anajiskia vbaya haelewi huyu Mwanaume anashida gani kila saa anajishika shika Sehemu zake za Siri anajivutavuta
Sasa ndio kaniuliza WhatsApp Aunt nisaidie kwani Mwanaume akijishikashika kwenye dyu dyu kila saa anakuwa na maana gani?!
Au amevutika na mimi mpaka machine yake inarukaruka?!
Eti wenye Mapenzi Mema huku JF, ingekuwa wewe unaulizwa hivi ungemjibuje?!
Mimi nimemwambia ngoja Kwanzaa nipike nitakupigia... ahahahahaha
Uuuuwiii
Ahahahahaha uuuuwiPumbu jero hiyo..
Walisoma boarding school mtakuwa mnaelewa..
Hahahahahah kiruMashine ipoo wimaa anaipindisha isichane suruali au mbele pasivimbe,,, uyoo ant ako c amtunuku tuu iyoo mbunyee,, mpaka mkaka wa watu anachafua boxer yakee
AiseeNingemjibu hivi..."ukiona anajikuna sana jua anawashwa"simpo ansa
Hahahahahaha uuuuwiJF raha sana
Bado ni date yao ya 1Jamanii...pengine ana kingdom fungi jee,..kwani hawajachunguliana bado?? Eti Aunt Penny...
HahahahahahhaSasa kama ana mifangasi huko chini?
Anyway wanaume huwa tuna mbinu nyingi za kuomba mzigo..!!
Sasa siku ya 1 date unamnunuliaje mtu dawa ya fangasiAmnunulie dawa za fangasi mbona zipo kibao buku tatu tu
Wakapime vikojoleo vyao kwanza..Bado ni date yao ya 1
Tungo nzuri mkuu. Kesho tunga tenaUnajuwa maswali mengine unabakia kucheka tu
Kuna mtoto wa Kakangu kapata bwana ana miaka 23, sasa huyo bwana kamtoa out ...
Mtoto wa kaka tuseme anaitwa Selina na Bwanake anaitwa Peter
Sasa walipokuwa wanashuka kwenye gari wakiwa wanaelekea kwenye hotel kupata lunch weekend ... Mwanaume kila saa anajishika shika Sehemu zake za Siri anajikuna
Mwanaume kafanya marathon ya 1... 2... 3... 4... 5.. siku hio hio moja
Selina akawa anajiskia vbaya haelewi huyu Mwanaume anashida gani kila saa anajishika shika Sehemu zake za Siri anajivutavuta
Sasa ndio kaniuliza WhatsApp Aunt nisaidie kwani Mwanaume akijishikashika kwenye dyu dyu kila saa anakuwa na maana gani?!
Au amevutika na mimi mpaka machine yake inarukaruka?!
Eti wenye Mapenzi Mema huku JF, ingekuwa wewe unaulizwa hivi ungemjibuje?!
Mimi nimemwambia ngoja Kwanzaa nipike nitakupigia... ahahahahaha
Uuuuwiii
Sasa si awashe sikunyingine yeye anawashwaje kqenye datesimple and clear, mtu akijikuna ujue anawashwa OVA