Swali muhimu

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,551
29,633
Wakubwa ninauliza kama kuna mwanabodi anayefahamu uwepo wa kampuni ya United Online huko US.
Pamoja na shughuli zao pia wanatoa huduma za hosting websites za free na kulipia.
Kuna rafiki yangu mmoja anataka kununua space kwa domain yake na akaniulizia kama akilipa kwa credit card yake haitamletea utata. Ananunua kupitia www.freeservers.com halafu jamaa wako atleast lower price and fair

(FREESERVERS IS A UNITED ONLINE COMPANY
Copyright © 2008 United Online Web Services, Inc. All rights reserved).

natumaini kupata msaada kutoka kwenu
 
HI

NI KWELI KUNA KAMPUNI INAITWA HIVYO MIMI MWENYEWE ENZI HIZO WAKATI NAJIINGIZA KATIKA MAMBO YA ICT NILITUMIA FREESERVERS KATIKA KUFANYA TAFITI NA MAMBO YANGU MENGINE YA KISHULE

LAKINI HIYO HAIKO SECURE SANA KWAHIYO SIIAMINI SIJUI KWA SASA HIVI

KUNA WATANZANIA www.extremewebtechnologies.co.tz au www.webspice.co.tz USIPENDE VITU VYA BURE ISEE MSANII

PIA UNAWEZA KUTEMBELEA

http://www.google.com/search?hl=en&q=Domain+Registration

UTAWEZA KUPATA OPTION NYINGI ZAIDI ZA DOMAIN AND KUAMUA SASA

AHSANTE
 
HI

NI KWELI KUNA KAMPUNI INAITWA HIVYO MIMI MWENYEWE ENZI HIZO WAKATI NAJIINGIZA KATIKA MAMBO YA ICT NILITUMIA FREESERVERS KATIKA KUFANYA TAFITI NA MAMBO YANGU MENGINE YA KISHULE

LAKINI HIYO HAIKO SECURE SANA KWAHIYO SIIAMINI SIJUI KWA SASA HIVI

KUNA WATANZANIA www.extremewebtechnologies.co.tz au www.webspice.co.tz USIPENDE VITU VYA BURE ISEE MSANII

PIA UNAWEZA KUTEMBELEA

http://www.google.com/search?hl=en&q=Domain+Registration

UTAWEZA KUPATA OPTION NYINGI ZAIDI ZA DOMAIN AND KUAMUA SASA

AHSANTE

Mkuu SHY
Nashukuru sana kwa kunisaidia na kunihakikishia kuwa unawafahamu. Ni kuwa nimeulizwa how reliable are they na pia pamoja na kuwa wanazo freespaces but wanazo wanazotoza hela, na fees zao ni nzuri kulinganisha na za wabongo.
 
Back
Top Bottom