Mheshimiwa WAZIRI MKUU,
Kumekuwepo malalamiko mengi kwa muda mrefu ndani na nje ya Bunge juu ya Utendaji usio ridhisha wa baadhi ya wizara na mawaziri wake,
Kwa bahati mbaya mawaziri waliochini ya ofisi yako wamekuwa ndio vinara kwa kulalamikiwa jambo lililopelekea Bunge hili kupitisha azimio la kutaka wajitathmini kama wanafaa kuendelea na nyadhifa hizo.
Lakini wewe kama Waziri Mkuu ni dhahiri kuwa sio tu unashindwa kuzisimamia wizara zilizo ndani ya ofisi yako bali hata nyinginezo kwa mujibu wa madaraka na wajibu wako kikatiba,
Je? Huu Si Muda Muafaka wa Wewe KUJIUZULU?
Kumekuwepo malalamiko mengi kwa muda mrefu ndani na nje ya Bunge juu ya Utendaji usio ridhisha wa baadhi ya wizara na mawaziri wake,
Kwa bahati mbaya mawaziri waliochini ya ofisi yako wamekuwa ndio vinara kwa kulalamikiwa jambo lililopelekea Bunge hili kupitisha azimio la kutaka wajitathmini kama wanafaa kuendelea na nyadhifa hizo.
Lakini wewe kama Waziri Mkuu ni dhahiri kuwa sio tu unashindwa kuzisimamia wizara zilizo ndani ya ofisi yako bali hata nyinginezo kwa mujibu wa madaraka na wajibu wako kikatiba,
Je? Huu Si Muda Muafaka wa Wewe KUJIUZULU?