Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Makamu wa Raisi wa JMT Ni mtu wa pili kwa cheo na madaraka katika serikali ya Muungano. She is "a heart beat away from the presidency" yaani yuko "pigo moja tu la moyo nyuma ya Urais". Je, anakoto kunanufaika vipi su anakuletea vipi naendekea? Wabunge, Mawaziri na hata Rais wanaonekana kumpigia chapuo "kwao". Vipi makamu wa Rais?? (Emoji ya mtu anakimbia...kama huioni mtu kashatoka mtutu).