Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,457
- 154,323
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
gugo uoneKumbe bujibuji handsome...
TrueI think to my opinion and understanding God is one... And then there are many other gods
Hata Mashetani nao ni tofauti. Kuna ambao wana 'shetani' wazuri kiasi wanashirikiana nao.Kwanini dini zenu hazina Mungu mmoja, Allah sio Jehovah, lakini wote mna shetani mmoja mnayemuamini?
Mungu si mmoja wala zaidi ya mmoja Bali Mungu ni Mungu hahesabiki kwa namna yoyote ileMungu ni mmoja tu
Hili swali Nita mpelekea ndugu yangu kisendi pale Oslo NorwayJehovah ndio Allah?
Acha uongo na uogaMungu si mmoja wala zaidi ya mmoja Bali Mungu ni Mungu hahesabiki kwa namna yoyote ile
Wewe mshindiUkishangaa ya Musa utayaona ya Firauni. Nyoka wa Musa akameza nyoka wote wa Farao
Kisichokuwapo, hakithibitishiki kwamba hakipo, nje ya dhana, kwa sababu hakipo, ili kithibitishike inabidi kiwepo, na kikiwepo kitakuwa kipo, si hakipo, kwa hivyo hakithibitishiki hakipo nje ya dhana.Wewe ndiye ungetthibitishia kwamba MUNGU hayupo tukuamini
Wewe unakariri tu Mimi namjuaAcha uongo na uoga
nimeumbwa kwa mfano wa Mungueti handsome