Rashford Lingard
JF-Expert Member
- Feb 9, 2018
- 938
- 1,149
Jini ni kiumbe kilicho umbwa kwa moto
Jini ni kiumbe kilicho umbwa kwa motoSawa nitakuelekeza pale tu utakapo nijibu maswali yangu moja baada la jingine,
Kwa unavyofahamu wewe, jini ni nini?
wewe kama wewe,
Rakims
Wanasifa ya kubadilika katika sura na maumbo tofaut tofautni hicho tu unachofahamu kuhusu viumbe hivi?
habari yako kiongozi asante kwa kuendela kutupa elimu tusizozijua....Tembelea thread hii utajifunza kidogo
Mwanzo wa meditation
JINSI YA KUFANYA MEDITATION Meditation Ya Pumzi: MEDITATION: Ni ile hali wakati mawazo yanapokuwa yameyeyushwa na kufikia mahali ambapo hakuna fikra yenye kuingia tena. ¡¤ Wengine wanaielezea tahajudi kwamba, ni sala za usiku wa manane. FAIDA ZA MEDITATION: 1. Husaidia kuratibu msukumo wa...www.jamiiforums.com
Rakims
Majini ni mjumuisho wa viumbe hivi visivyoonekana na wanyama wao pia, sasa maruhani ni baadhi ya majini tu ambao hujisema wao ni wema na hata ukiwahoji maswali hujisema wao ni wazuri na kama ni waislamu utaskia wanasema mafundisho ya kiislamu na kama ni wakiristo utasikia wanasema mazungumzo ya kikristo,Je Majini maruhani mkuu wao ni Lucifer?
Habari mkuu, Ndio haya yalikuwepo yapo na yataendelea kuwepo kwa watu wengine waliojaliwa pia, hapo kuna jambo moja au mawilihabari yako kiongozi asante kwa kuendela kutupa elimu tusizozijua....
mm naomba niulize kitu kuhusu mimi, zamani nilipokuwa mdogo nilikuwa naokota fedha eneo lile lile kila siku pia nilikuwa na uwezo wa kuchimba shimo na kuweka mawe kisha fukia zen baada ya muda yale mawe yanageuka pesa ( sarafu) but as i grow up nilipoteza kila kitu.
2. pia nilikuwa nauwezo wakuona future event japo sio full event yaani inatokea event afu unahisi kama lilishatokea before
je haya yanaelezeka kwa ufahamu wako??
Habari mkuu,Shikamo wakuu,jaman naomba msaada, know yu nawatu wamejifanyia mke wangu wa Ndoa kuwa mke wao, kilasiku wamfanya na wamemtia mimba,Bado nampenda mkewangu.Naomba msaada jinsi ya kuwavimbisha matumbo hawa watu.. Nimechoka kuvumilia,.
salute...Habari mkuu,
Kwanza kabisa pole na tatizo lililokukuta lakini pili fahamu ya kuwa hakuna linalotokea isipokuwa mwenyezi Mungu kakupangia sasa pale ambapo linatokea la kishetani either wewe haukupangiwa na Mungu ukawa umelileta mwenyewe au ulishafanya hivyo sasa umelipwa,
Yote kwa yote linalokuepuka lina heri na wewe, wanawake wapo wengi wazuri kumzidi yeye, kapenda hadi kubeba mimba nje, achana nae muombe mwenyezi Mungu samahani na subiri pamoja na wenye Kusubiri uje kupata wa maana aliyekurudhuku mwenyezi Mungu,
Naweza kukusaidia na kukuelekeza jinsi na kuwatoa vishipa lakini la kheri zaidi kwako ni kukusaidia kuondoa pingu za mapenzi yako kwake,
Ili ukinai
Nb:
Kisasi ni haki lakini kusamehe ni bora zaidi
Rakims
Inaaminika kuwa meno ya juu mtoto akianza kuota meno ya juu mtoto huyo hata kaa na mke au mume kwa muda mrefu, ni mkosi na pia humdhohofisha mtoto wengine huamini kuwa yanasababisha mzazi kuto kuzaa kwa muda mrefu,Swali;
Meno ya chini mara nyingi ndiyo huanza kuchomoza kwa watoto wachanga walio wengi wanapo kuwa ;
wachache wengine huanza kuchomoza meno ya juu ;
@Je kuna ukweli wowote kiroho au ki-imani kwa wale wanao anza chomoza na meno ya juu ,?
@ Je kuna uhusiana wa ukweli na jambo lolote LA kiroho ,kimaumbile,kinyota au ki-imani ?
Msaada wako tafadhari.
Sijawai amini ivi vitu, hata ivyo havipo kabisaa na wote wanaoamini Ukiwangalia ni watu ambao wanafanana, ni watu ambao wanaakili moja ambayo ni wepesi sana kukata tamaa katika kila jambo,
Napata shida sana wasomi wanaoamini haya mambo, unakuta mtu anavyeti vyake tena vizuri kabisa lakini haamini kama vinaweza vikampa ajira hadi aende kwa ao watu napenda kuwaita ni mapunguani
Ndugu na jamaa zangu wenye imani izo wananifahamu kabisa, hakuna ulimwengu wa kiroho ni hadhithi tu za rejea
Una roho ya kukwama.yaani Mambo yako yanakuwa hayaendi kabisa au yanaenda slow sanaMimi pia huota ndoto za shule. Tena secondary Na nilishapita huko miaka karibu kumi. Hua ninaota tumekaribia kufanya mitihani imebaki wiki moja au Mbili lakini Mimi somo LA hesabu Sifaham chochote. Nashikwa Na waswas nakuanza kutafuta namna ya kufundishwa Na wenzangu.
Ni mara moja nilishaota imefika hadi siku ya mtihani nikafanya bila kusoma hio hesabu.paper 1 nikapata 100 nikawa wakwanza paper 2 nikapata 0 nikawa wa mwisho.
Haipiti wiki ninaota tena ni miaka karibu miwili sasa.
Habari mkuu hilo tukio liligusa sana roho yako jaribu kufuatilia vema kwa karibu utafahamu sababuMimi pia huota ndoto za shule. Tena secondary Na nilishapita huko miaka karibu kumi. Hua ninaota tumekaribia kufanya mitihani imebaki wiki moja au Mbili lakini Mimi somo LA hesabu Sifaham chochote. Nashikwa Na waswas nakuanza kutafuta namna ya kufundishwa Na wenzangu.
Ni mara moja nilishaota imefika hadi siku ya mtihani nikafanya bila kusoma hio hesabu.paper 1 nikapata 100 nikawa wakwanza paper 2 nikapata 0 nikawa wa mwisho.
Haipiti wiki ninaota tena ni miaka karibu miwili sasa.