Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,481
- Thread starter
- #141
Mkuu watu kama wewe walikuwepo katika zama na waliuliza swali kama lako sasa ukizungumzia mitume, wote hakuna aliyekuwa tajiri kwa sababu utajili wao wengi waliuteketeza na kuutenga kwa kuhofia kuwa ni mapambo ya dunia ambayo yangeweza kuwateteresha hata nguvu walizopewa hawakutaka kuzitumia kupitiliza kwa kuhofia utiifu wao kwa Mwenyezi mungu aliowapa utume lakini aliyeamua Mwenyezi Mungu kumpa ilisalia kidogo tu amkosee vibaya ambaye ni Mfalme Suleiman Ibn Daud (King Solomon Son Of David)Ikiwa hivi ndivyo! Ni kwa nini basi mitume wengi hawa kuwa na pesa na ili hali wao wana nguvu za kiroho za hali ya juu?.
Ambapo na haya mambo mengi ya interference baina ya wanadamu na viumbe vya kiroho yalizidi,
Mkuu kwenye sinema za watoto (Spiderman) hii pia ilitajwa "with great power comes great responsibility" ukiwa na power hizi utajiri ni kitu cha mwisho kabisa kitakuwa kikigonga kichwa chako
Rakims