Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,044
- 1,999
Wadau,kwanza polen sana na mzigo wa deni la dowans!!ni hv,nlikua na gal wangu,baadae 2kaachana na yeye ndo alyekua wa kwanza kuniambia 2achane,tukakatiana mawasliano kwa muda wa miezi 6,juzi nikajipendeza kumuita rum kwangu,alvokuja 2kapga story za kawaida 2,baadae nkamuulza,vp shemu wangu hajambo?cha kushangaza mmanzi akaanza kutoa machozi,thn akaniaga akaondoka bila kunijbu chochote,akakaa ka 30mts akan2mia txt aknambia,swali langu ni gumu sana na halijbiki.hiv wadau,huyu m2 atakua kakumbwa na nin hasa?