balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,431
- 12,547
Mkuu yule binti binti bado yupo au alishaolewa?Ni simple sana Mkuu ukikuwa utajua wala huitaji kuonyeshwa wala kuuliza barabara huwa zinajiongoza ....kwanza kasomee driving utajifunza kila kitu... kwanza ukiona kibao cha 30speed inamaanisha nini ama uko eneo gani na 80speed Ina maana gani