Swali langu kwenu waendesha private car kwenda Mikoani

Niliwahi kufika Dodoma miaka flani
Ktk story nikasikia hii ni barabara ya Dar ambapo barabara hyo ukiifwata unafika mpk Moro

Ukiwa Dar utakuta barabara ya bagamoyo na ukiwa makini vipo vibao vitakuonesha na km


Jarbu kumtoroka baba yako panda gari za Mbeya huko mbele utafute nyingine ufike mpk Rukwa,Songea nk

Ushakua mkubwa
 
mtu hata hajawahi miliki IST lakini anafungua uzi
kwani hujasoma heading
ndo wanaotoa majibuless
 
Dogo mwambie baba yako aandae laki mbili ya malipo ya hostel mliyoichoma,,,,tofauti n hapo RC CHALAMILA atawaharibia maisha,,,,amepewa baraka n MKULU
 
Hahahaaa Tunaosoma cooment tujuane
Felister%20Aidan_65507960_147184346428118_2239531790583632643_n.jpeg
 
Kujua jiografia ni nusu ya kufika.Mtu mzima hapotei huchelewa tu kufika.
 
baba yako alikujibu kuwa atakwambia ukikua inawezekana anajua wewe ni mbumbumbu. unadhani jiografia inayofundishwa shuleni ni kwa ajili ya kujibu mtihani tu?....unapopanga safari kwenda mahali popote ni lazima uwe na background information ya mahali unakokwenda na ujue barabara inakwendaje na inapitia wapi. ramani zipo hata atlas za darasa la tatu zinaonyesha barabara zote nchini, lakini bado mtu mzima kama wewe hujui na huwezi kutumia elimu yako ndogo ya darasani kukutoa point A kwenda point B?

Subiri ukikua babako atakwambia.
 
Kwahiyo bado hujakua tu ili baba ako akwambie?
Unakuta mtu anaishi Arusha au anaishi Dodoma then anataka atoke alipo aende mkoa tofauti

Labda tuseme unataka kwenda kigoma,swali langu ni:

Unajuaje njia ya kupita hadi kufika kigoma? au ndio kufata lami moja kwa moja?

Mi najuaga mnafata mabasi kwa nyuma sasa naona itakua haina maana kama utafata bus kwa nyuma,bora upande bus sasa.

Nauliza hivi kwasababu Baba angu ni msafiri sana wa huko mikoani na unakuta kuna mkoa anaenda hajawahi hata kufika.

Nilishaenda nae kipind flani nikahisi labda huko barabarani kuna vibao,ila ajabu ni kwamba sijawahi ona kibao tofauti na vya SPEED LIMIT

ukimuuuliza amejuaje njia,anakujibu kisiasa "ntakwambia ukiwa mkubwa"

Sasa mi naomba kujua nyie waenda mikoani hizo njia mnazijuaje hadi mnafika kabisa mkoa Husika

Maana kuna sehemu unakuta round about halafu njia ziko kama 4 hivi na hazijaandikwa ila mtu hakosei anaingia right way,mnajuaje?

Na ndio mikoa yote sasa nchi nzima,kweli?
 
Nimegundua wewe ni dogo.Kumbuka mtu anakwenda Ulaya na anafika lakini hajawahi fika.Why 1.kuuliza 2.Elimu inasaidia 3.kumbuka unayeendesha ndege au basi sio wewe 4.Kwa nchi za wenzetu kwenye magari kuna GPS inakuelekeza unakoenda tena hadi nyumbani kwa mtu
Pole kijana wangu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom