CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,962
Unakuta mtu anaishi Arusha au anaishi Dodoma then anataka atoke alipo aende mkoa tofauti
Labda tuseme unataka kwenda kigoma,swali langu ni:
Unajuaje njia ya kupita hadi kufika kigoma? au ndio kufata lami moja kwa moja?
Mi najuaga mnafata mabasi kwa nyuma sasa naona itakua haina maana kama utafata bus kwa nyuma,bora upande bus sasa.
Nauliza hivi kwasababu Baba angu ni msafiri sana wa huko mikoani na unakuta kuna mkoa anaenda hajawahi hata kufika.
Nilishaenda nae kipind flani nikahisi labda huko barabarani kuna vibao,ila ajabu ni kwamba sijawahi ona kibao tofauti na vya SPEED LIMIT
ukimuuuliza amejuaje njia,anakujibu kisiasa "ntakwambia ukiwa mkubwa"
Sasa mi naomba kujua nyie waenda mikoani hizo njia mnazijuaje hadi mnafika kabisa mkoa Husika
Maana kuna sehemu unakuta round about halafu njia ziko kama 4 hivi na hazijaandikwa ila mtu hakosei anaingia right way,mnajuaje?
Na ndio mikoa yote sasa nchi nzima,kweli?
Labda tuseme unataka kwenda kigoma,swali langu ni:
Unajuaje njia ya kupita hadi kufika kigoma? au ndio kufata lami moja kwa moja?
Mi najuaga mnafata mabasi kwa nyuma sasa naona itakua haina maana kama utafata bus kwa nyuma,bora upande bus sasa.
Nauliza hivi kwasababu Baba angu ni msafiri sana wa huko mikoani na unakuta kuna mkoa anaenda hajawahi hata kufika.
Nilishaenda nae kipind flani nikahisi labda huko barabarani kuna vibao,ila ajabu ni kwamba sijawahi ona kibao tofauti na vya SPEED LIMIT
ukimuuuliza amejuaje njia,anakujibu kisiasa "ntakwambia ukiwa mkubwa"
Sasa mi naomba kujua nyie waenda mikoani hizo njia mnazijuaje hadi mnafika kabisa mkoa Husika
Maana kuna sehemu unakuta round about halafu njia ziko kama 4 hivi na hazijaandikwa ila mtu hakosei anaingia right way,mnajuaje?
Na ndio mikoa yote sasa nchi nzima,kweli?