Swali langu kwa Mwigulu huko Arumeru kwenye Kampeni

yplus

Senior Member
Mar 20, 2012
153
69
Nimekusikia kwenye moja ya mikutano ya kampeni za ubunge kumdadi Sioy Sumary kuwa akishinda ubunge,Atarudisha Maelfu ya Ardhi yanayokaliwa na walowezi.

Swali.
1.Hiyo Ardhi ilitolewa na nani kwenda kwa hao walowezi?
2.Ofisi wa waziri mkuu Mwaka 2009 ilitoa Barua ya kutaka Ardhi irubishwe,kwa nini hilo suala lina kigugumizi hadi leo?
3.Kwa nini hao walowezi wanalipa tshs 6000 kwa heka kila mwaka na wakati wana Arumeru hawana kabisa maeneo ya kulima?
4.Unaposema Chagueni CCM kwani ndio iliyoshika nchi,Nchi inaongizwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Jamhuri ya CCM?
Waiting for answer from Mwigulu au Fans wake yeyote anieleweshe...

Nawasilisha...
 

Attachments

  • DSC_0006reszied.jpg
    DSC_0006reszied.jpg
    87.4 KB · Views: 59
Sikuhizi hata kubrowse humu imekuwa shida kwa Nchemba!
Tokea issues zao zishtukiwe imekuwa shida sana.
Siyoi hana uwezo wala maamuzi ya kurudisha Ardhi ya Meru, chama chake ni mtuhumiwa namba moja wa kuuza ardhi ya wananchi kwa walowezi.
Labda apingane na maamuzi ya chama chake. na hilo hawezi kabisa, jamaa mwenyewe bishoo sana.
Nimesikia hata kule Iramba wanajua hawana mbunge, ila wana Mzinzi!
 
Back
Top Bottom