NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,267
Majina yametoka ya wanafunzi ambao wanatakiwa kwenda jeshini kwa mafunzo ya kijeshi yaani shule zote zilizobakia kuacha zile 27 ambao walienda awamu ya kwanza. Nani anafahamu ni website gani jamani?
alafu asiyeenda hatua gani hizo zitachukuliwa? Msianze kuponda jamani, ka huwezi kujibu tafuta post nyingine maana haikuhusu hii
alafu asiyeenda hatua gani hizo zitachukuliwa? Msianze kuponda jamani, ka huwezi kujibu tafuta post nyingine maana haikuhusu hii