DIZZO MTAWALA
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 240
- 767
Yes kwenye kampeni za 2015 Fredrick Sumaye akiongoza kampeni za UKAWA kwenye viwanja vya Tanganyika Packers aliwaambia matycoon, Magufuli alikuwa akitumwa kama kwenda kutengeneza jambo basi atafanya na jambo ambalo hakuagizwa leo mnampa madaraka ya urais je madaraka ya Urais mnayajua?
Sasa magomvi ya matycoon yamemleta Magufuli. Anachokifanya Magufuli sio kigeni ndani CCM sema yeye kabadili gia kidogo baada kuona uhalali wa kisiasa ndani ya chama na nje ya chama umeshuka sasa kaamua kutumia uhalali wa kidola.
Pole Makamba ulitukamata na mapolisi ukiongozana na Kova baada ya kudhibitiwa uchakachuaji yote tu ilimradi Magufuli awe Rais. Sasa kakurejea pambana naye umma hauwezi kuwa nyuma yako ninyi mlituuza kwa magomvi leo hali ya kiuchumi imekuwa mbaya malipo hapa hapa aisee leo Janaury hawezi hata kuongozana na Mambosasa
Mzee Sumaye alijua zimwi hili litawageukia tu.
Sasa magomvi ya matycoon yamemleta Magufuli. Anachokifanya Magufuli sio kigeni ndani CCM sema yeye kabadili gia kidogo baada kuona uhalali wa kisiasa ndani ya chama na nje ya chama umeshuka sasa kaamua kutumia uhalali wa kidola.
Pole Makamba ulitukamata na mapolisi ukiongozana na Kova baada ya kudhibitiwa uchakachuaji yote tu ilimradi Magufuli awe Rais. Sasa kakurejea pambana naye umma hauwezi kuwa nyuma yako ninyi mlituuza kwa magomvi leo hali ya kiuchumi imekuwa mbaya malipo hapa hapa aisee leo Janaury hawezi hata kuongozana na Mambosasa
Mzee Sumaye alijua zimwi hili litawageukia tu.