Swali la wasiwasi: Je, mikutano ya kisiasa itakaporuhusiwa Wapinzani watapata Nyomi kama la Dr Bashiru na Polepole?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,598
141,413
Najiuliza tu kwa sababu kwa sasa wananchi wengi wameshavisahau vyama vya upinzani ukiondoa kule Zanzibar, Mbeya mjini, Iringa mjini na Tarime.

Ndio najiuliza mikutano itakapofunguliwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu vyama vya upinzani vitapata watu au watalazimika kuwabeba kwa malori kama wafanyavyo Cuf na Chadema.

Nipo hapa Ludewa ambako Masanja Mkandamizaji atagombea ubunge kupitia CCM, kiukweli sijaona hata bendera moja ya Chadema ikipepea wilaya nzima.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kati ya makosa yaliyofanywa na CCM, kubwa ni hili la kuzuia mikutano ya vyama vya upinzani.

Kitendo cha kuwaziba mdomo kitakuwa kimejenga shauku kubwa ya wananchi kuwasikia tena viongozi wa upinzani na hoja mbadala.
Hali hiyo itavuta watu wengi sana kwenye mikutano yao.

Tusubiri kipenga!
 
Hujasikia kila bendera za CHADEMA zikipandishwa DC anaamuru ziteremshwe? Kama unajidanganya kuwa CCM inapendwa kivile unajidanganya. Bila msaada was dola CCM ni wepesi kuliko karatasi!
 
Tume wachia tume na dola ni ya kwenu mtawale mpaka Basi huwenda kuna watu wametumwa duniani kutawala hata Kama hawana maarifa ya uongozi
 
Sio vyema kuleta utabiri wa kichawi mapema. Tusubiri kipenga na ahadi ya uhuru aliyoitoa mkuu wa kaya iwepo halafu ndo tuone. Nnani atakodi malori na Nnani watatembea km 50 kwa miguu kwenda kumsikiliza. October is jus near. Siku hazigandi
 
Sio vyema kuleta utabiri wa kichawi mapema. Tusubiri kipenga na ahadi ya uhuru aliyoitoa mkuu wa kaya iwepo halafu ndo tuone. Nnani atakodi malori na Nnani watatembea km 50 kwa miguu kwenda kumsikiliza. October is jus near. Siku hazigandi

Yeye ndio kinara wa kunajisi uchaguzi hapa nchini. Hakuna mtu anayejitambua atashiriki uchaguzi wa kishenzi bila tume huru vya uchaguzi fullstop.
 
Yeye ndio kinara wa kunajisi uchaguzi hapa nchini. Hakuna mtu anayejitambua atashiriki uchaguzi wa kishenzi bila tume huru vya uchaguzi fullstop.
Umehakikishiwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki acha kulialia kama Kigwangala!
 
Umehakikishiwa uchaguzi utakuwa huru na wa haki acha kulialia kama Kigwangala!

Nani wa kuhakikisha hilo, sijawahi kumuamini hiyo jamaa kwa lolote, hayo maneno kaongea kwa mazoea lakini hana mpango wowote wa kuwa na uchaguzi huru.
 
Back
Top Bottom