johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,726
- 141,592
Najiuliza tu kwa sababu kwa sasa wananchi wengi wameshavisahau vyama vya upinzani ukiondoa kule Zanzibar, Mbeya mjini, Iringa mjini na Tarime.
Ndio najiuliza mikutano itakapofunguliwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu vyama vya upinzani vitapata watu au watalazimika kuwabeba kwa malori kama wafanyavyo Cuf na Chadema.
Nipo hapa Ludewa ambako Masanja Mkandamizaji atagombea ubunge kupitia CCM, kiukweli sijaona hata bendera moja ya Chadema ikipepea wilaya nzima.
Maendeleo hayana vyama!
Ndio najiuliza mikutano itakapofunguliwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu vyama vya upinzani vitapata watu au watalazimika kuwabeba kwa malori kama wafanyavyo Cuf na Chadema.
Nipo hapa Ludewa ambako Masanja Mkandamizaji atagombea ubunge kupitia CCM, kiukweli sijaona hata bendera moja ya Chadema ikipepea wilaya nzima.
Maendeleo hayana vyama!