utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,812
Hivi kweli hii rasimu ya katiba mpya inaendana na thamani ya fedha (value for money ) iliyotumika na tume ya Warioba? Mliomsikiliza jana alisema ni kiasi gani tume imetumia hadi sasa? Je rasimu hii isingeandikwa na jopo la wataalamu wachache kabla ya kufanya igizo la kukuaanya maoni?
unajidhalilisha mkuu, kaa huko ulaya ponda maisha ya huku tuachie wenyewe, kama maisha yamekushinda tukutumie nauli urudi nyumbani