pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,636
- 6,261
TAKUKURU wameagizwa na waziri wa Afya (Dorothy) wakamchunguze Askofu Gwajima Kwa kusema chanjo ni feki na ina sumaku.
Swali: hapo TAKUKURU wana kazi gani?
Swali: hapo TAKUKURU wana kazi gani?