Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,192
- 25,493
Ukitazama kutenguliwa kwa Waziri na Kamishna Jenerali wa Zimamoto pamoja na kujiuzulu kwa Katibu Mkuu, ni kama uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani umewajibishwa.
Naibu Waziri Masauni hakuhusika popote na kwa vyovyote na wala kuwajibika kwa hilo? Amebaki vipi ikiwa sakata ni la kiwizara?
Naibu Waziri Masauni hakuhusika popote na kwa vyovyote na wala kuwajibika kwa hilo? Amebaki vipi ikiwa sakata ni la kiwizara?