Wanaukumbi
Ukweli unatabia ya uwazi, Magufuli hakupata watu Monduli. Aliishia kwa Sokoine ambaye hata hamjui zaidi ya picha na hotuba.
Alipokuja uwanjani hakuna kitu, magari ndiyo yalikuwa mengi kuliko watu.
Wakiweka picha humu akiwa na nyomi katika ardhi ya Monduli basi NTAMPA KURA YANGU.
Hatuhitaji kurayako wewe msukule
UTANGULIZI
Magufuli alifanya mikutano 9 kati ya kumi aliyotakiwa kuifanya Arusha,Aliicha Ngorongoro tu.
Magufuli alichelewa kuingia Shekh Amri Abed akiwa anatokea kuhutubia Monduli.
ITV walionesha clip ya Magufuli akirukaruka kimorani huku akipambwa na shingo za kunesanesa za kina mama yeyoo...
Lowassa ilibidi arudi Monduli kufanya mkutano mara ya pili baada ya kusikia shughuli ya TINGATINGA VIUNGANI MWA ARUSHA.
Chadema ilipoteza mwenyekiti wake wa chama wilaya ya monduli alihamia ccm.....
UTANGULIZI
Magufuli alifanya mikutano 9 kati ya kumi aliyotakiwa kuifanya Arusha,Aliicha Ngorongoro tu.
Magufuli alichelewa kuingia Shekh Amri Abed akiwa anatokea kuhutubia Monduli.
ITV walionesha clip ya Magufuli akirukaruka kimorani huku akipambwa na shingo za kunesanesa za kina mama yeyoo...
Lowassa ilibidi arudi Monduli kufanya mkutano mara ya pili baada ya kusikia shughuli ya TINGATINGA VIUNGANI MWA ARUSHA.
Chadema ilipoteza mwenyekiti wake wa chama wilaya ya monduli alihamia ccm.....
Nyomi sio idadi ya kura wewe
Wengine wanakuja kushangaa helikopta 😆
Hilo la kwanza, wakimfungulia Lowassa kesi juu ya madai yao ya ufisadi, sio tu ntawapa kura yangu, ntazunguka na mgombea wa ccm kuhamasisha wananchi wampigie kura.
Nyomi sio idadi ya kura wewe
Wengine wanakuja kushangaa helikopta 😆