Akiisha kuchangia kwasehemu kubwa katika mada hiyo Lissu alisema" Ni swali ninalojiuliza sana, mara nyingi, hata sasa ninajiuliza ni kwanini Baraza la Mawakili limekuwa kimya hadi sasa juu ya tuhuma za ufisadi? Masuala ya EPA, Richmond, Kagoda yanatajwa wako kimya.Hawajatoa tamko wala kuchukua hatua
Contribution ya profesionals kwenye mambo ya msingi ya nchi yetu inatia mashaka sana.Wengi wanafanya kazi kwa kutegemea huruma ya wanasiasa ndio maana wamepumzisha akili zao kabisa kwenye masuala yanayohusu nchi.
Mambo ya "Maslow Hierarchy of Needs" as detailed in the seminar paper "A Theory of Human Motivation". Wanasheria wetu wengi njaa na waoga.