Swali la sikukuu: Ununuzi wa magari ya kifahari kwenye halmashauri kosa ni la Wakurugenzi au Madiwani wa CCM?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,853
141,772
Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.

Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.

Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.

Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwanini tutumie magari ya kifahari wakati nchi inajiendesha kwa mikopo ya wahisani?

Maendeleo hayana chama ila yanahitaji watu makini na wenye nia thabiti na nchi hii
 
Hakuna suala hapa. NI USANII TU. Wamegundua uwezekano wa kupata kiki kwa kujifanya wanajia juu magari hayo ya wateule yanayozidi kujaa barabarani. Ni kutaka kuwafanya Watanzania mazwazwa wasioelewa kitu. Ufujaji serikalini ni jambo la kawaida sana. Ni sehemu ya jeuri ya madaraka. Kwenye hili, wote wanahusika.
 
Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.

Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.

Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.

Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?

Maendeleo hayana vyama!
Kosa ni la Ofisi ya Waziri Mkuu anayeidhinisha manunuzi hayo hali akijua si hadhi ya ma-DED
 
Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.

Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.

Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.

Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?

Maendeleo hayana vyama!
Ulizaneni mkipata majibu,tunaomba mrudi hapa kutupa mrejesho.
 
Tumeshajua anaetafutwa bwana yule ndio anatafutwa anaonekana ana nguvu sawa na Mamvi sasa dawa kumakizana nae tuanze upya .....!! Nataka Rahisi wangu nitampandikiza mwenyewe sio zao lao na mitandao Jan, Majaliwa, hapana ...mnikishindwa Jafo basi heri aje Mwinyi .....Zbar nimuweke Mbarawa muda ni mwalimu mzuri ......PM hakuna kupenya..
 
Tumeshajua anaetafutwa bwana yule ndio anatafutwa anaonekana ana nguvu sawa na Mamvi sasa dawa kumakizana nae tuanze upya .....!! Nataka Rahisi wangu nitampandikiza mwenyewe sio zao lao na mitandao Jan, Majaliwa, hapana ...mnikishindwa Jafo basi heri aje Mwinyi .....Zbar nimuweke Mbarawa muda ni mwalimu mzuri ......PM hakuna kupenya..
Jaffo awe Rais?
 
Hayo magari mbona hata huko CCM mmeyanunua? CCM ukoo wa panya baba mwizi,mama mwizi na watoto waizi.
 
Madiwani ndio wanapitisha mapato na matumizi ya serikali za mitaa yaani halmashauri.

Madiwani wengi kama siyo wote ni wa CCM.

Mkurugenzi hutoa mapendekezo kwa baraza la madiwani kuhusiana na manunuzi yote na hawezi kununua bila approval ya baraza.

Sasa kwenye kesi ya magari ya kifahari ya wakurugenzi aliyekosa uzalendo ni mkurugenzi au ni CCM?

Maendeleo hayana vyama!
Kwani nasema uongo, ndugu zangu...!
 
Back
Top Bottom