Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Umewezaje Kwa muda mfupi kufanya mambo makubwa ndani ya Simba?
Jibu ni jepesi tu haya ninayofanya niliyasoma darasani kwenye Topic ya PR Campaign
Kama PR hujapita darasani huwezi kufanya vitu vidogo kama hivi baadala yake utahangaika na maisha binafsi ya watu
Ni rahisi kumuona PR ambae hajapita darasani anakagua SAUTI za Watu kisha anasema fulani anabana pua ni kwa sababu hana Campaign yoyote wala Strategy ya kufanya kwenye kazi yake
Ni rahisi mno kumuona PR ambae hajapita darasani anakagua SUTI za watu na kugundua aina ya kitambaa kwa sababu hana mpango kazi wa kufanya ndiyo maana anahangaika na mavazi ya watu
Ni rahisi sana kumuona PR ambae hajapita darasani anazungumzia sehemu wanazoishi watu kama Kijiwe Samli kwa sababu hajui kaajiriwa afanye kazi gani.
PR sio kipaji cha kuzungumza ni taaluma ambayo watu wanakaa darasani miaka mitatu kutafuta ujuzi.
Kijana mwenzangu mwenye ndoto ya kuwa PR usifanye mazoezi ya kuongea kwa nguvu nenda darasani tu.
Sidhani kama kweli alisoma vizuri PR yake maana nae amejibu kimajungu tu.
Jibu ni jepesi tu haya ninayofanya niliyasoma darasani kwenye Topic ya PR Campaign
Kama PR hujapita darasani huwezi kufanya vitu vidogo kama hivi baadala yake utahangaika na maisha binafsi ya watu
Ni rahisi kumuona PR ambae hajapita darasani anakagua SAUTI za Watu kisha anasema fulani anabana pua ni kwa sababu hana Campaign yoyote wala Strategy ya kufanya kwenye kazi yake
Ni rahisi mno kumuona PR ambae hajapita darasani anakagua SUTI za watu na kugundua aina ya kitambaa kwa sababu hana mpango kazi wa kufanya ndiyo maana anahangaika na mavazi ya watu
Ni rahisi sana kumuona PR ambae hajapita darasani anazungumzia sehemu wanazoishi watu kama Kijiwe Samli kwa sababu hajui kaajiriwa afanye kazi gani.
PR sio kipaji cha kuzungumza ni taaluma ambayo watu wanakaa darasani miaka mitatu kutafuta ujuzi.
Kijana mwenzangu mwenye ndoto ya kuwa PR usifanye mazoezi ya kuongea kwa nguvu nenda darasani tu.
Sidhani kama kweli alisoma vizuri PR yake maana nae amejibu kimajungu tu.