Swali la msingi: Aliyepandisha bei ya umeme ni TANESCO au EWURA?

hiden

JF-Expert Member
Sep 28, 2015
376
691
Kabla ya yote mimi pia ni mmoja wa wanaopinga kupandisha gharama ya umeme.
Lakini pamoja na hilo kuna kitu kinaendelea hapa nchini.

Watu wanatafutiwa sababu za kutumbuliwa makusudi ilimradi uondoke tu kwenye hiyo nafasi.

Wenye Mamlaka ya kupandisha gharama za umeme ni Ewura, Tanesco wao hupeleka maombi tu. Maombi yaweza kukubaliwa au kukataliwa.

Kwa mfumo wa nchi yetu huwezi niambia kipindi Tanesco wanafanya mchakato wa kupeleka maombi ya kupandisha bei ya umeme Waziri husika alikuwa hajui au hata Rais.

Nakumbuka kabisa kipindi Tanesco wamepeleka maombi haya Ewura, na nina amini hata Waziri au Rais walikuwa wanajua hili. Kama ni kuzuia mchakato walikuwa na uwezo wa kuzuia hilo.

Lakini leo kuwaambia watanzania wenye akili kwamba eti Hili hamlikuwa mkilijua au kushirikishwa bado mnatujaza maswali.

Sasa maswali mengine yanakuja juu zaidi kuhoji ni nani aliyepandisha bei ya umeme, ni Tanesco au Ewura?

Kwanin bosi wa Ewura asitumbuliwe kukiuka sera ya Rais ya viwanda na umeme wa gharama nafuu??

Kwaninu tusijiulize maswali mengine zaidi juu ya kutumbuliwa kwa Mramba?
Ni kweli watu yale yanaosemwa chinichini kuwa watu wa kanda ile huondolewa kwenye serikali hii kwa namna yoyote ile?

Ni kweli kwamba huwa zinatafutwa sababu au mitego kuhakikisha fulani anatumbuliwa?

Kutumbuliwa kwa Mramba kuna sababu nyingine na sio hili!!
Nawasilisha.
 
Umeme utapandishwa kimya kimya,kuanzia sasa kila unaponnua umeme angalia units utakazopata na ulinganishe na za mwaka jana,lazima utapandishwa tu,alichokosea mramba ni kutojua ulaghai wa siasa,alitakiwa afanye kimya.
 
Kabla ya yote mimi pia ni mmoja wa wanaopinga kupandisha gharama ya umeme.
Lakini pamoja na hilo kuna kitu kinaendelea hapa nchini.

Watu wanatafutiwa sababu za kutumbuliwa makusudi ilimradi uondoke tu kwenye hiyo nafasi.

Wenye Mamlaka ya kupandisha gharama za umeme ni Ewura, Tanesco wao hupeleka maombi tu. Maombi yaweza kukubaliwa au kukataliwa.

Kwa mfumo wa nchi yetu huwezi niambia kipindi Tanesco wanafanya mchakato wa kupeleka maombi ya kupandisha bei ya umeme Waziri husika alikuwa hajui au hata Rais.

Nakumbuka kabisa kipindi Tanesco wamepeleka maombi haya Ewura, na nina amini hata Waziri au Rais walikuwa wanajua hili. Kama ni kuzuia mchakato walikuwa na uwezo wa kuzuia hilo.

Lakini leo kuwaambia watanzania wenye akili kwamba eti Hili hamlikuwa mkilijua au kushirikishwa bado mnatujaza maswali.

Sasa maswali mengine yanakuja juu zaidi kuhoji ni nani aliyepandisha bei ya umeme, ni Tanesco au Ewura?

Kwanin bosi wa Ewura asitumbuliwe kukiuka sera ya Rais ya viwanda na umeme wa gharama nafuu??

Kwaninu tusijiulize maswali mengine zaidi juu ya kutumbuliwa kwa Mramba?
Ni kweli watu yale yanaosemwa chinichini kuwa watu wa kanda ile huondolewa kwenye serikali hii kwa namna yoyote ile?

Ni kweli kwamba huwa zinatafutwa sababu au mitego kuhakikisha fulani anatumbuliwa?

Kutumbuliwa kwa Mramba kuna sababu nyingine na sio hili!!
Nawasilisha.
Wewe hujui serikali inavyofanya kazi.
 
Anay
Kabla ya yote mimi pia ni mmoja wa wanaopinga kupandisha gharama ya umeme.
Lakini pamoja na hilo kuna kitu kinaendelea hapa nchini.

Watu wanatafutiwa sababu za kutumbuliwa makusudi ilimradi uondoke tu kwenye hiyo nafasi.

Wenye Mamlaka ya kupandisha gharama za umeme ni Ewura, Tanesco wao hupeleka maombi tu. Maombi yaweza kukubaliwa au kukataliwa.

Kwa mfumo wa nchi yetu huwezi niambia kipindi Tanesco wanafanya mchakato wa kupeleka maombi ya kupandisha bei ya umeme Waziri husika alikuwa hajui au hata Rais.

Nakumbuka kabisa kipindi Tanesco wamepeleka maombi haya Ewura, na nina amini hata Waziri au Rais walikuwa wanajua hili. Kama ni kuzuia mchakato walikuwa na uwezo wa kuzuia hilo.

Lakini leo kuwaambia watanzania wenye akili kwamba eti Hili hamlikuwa mkilijua au kushirikishwa bado mnatujaza maswali.

Sasa maswali mengine yanakuja juu zaidi kuhoji ni nani aliyepandisha bei ya umeme, ni Tanesco au Ewura?

Kwanin bosi wa Ewura asitumbuliwe kukiuka sera ya Rais ya viwanda na umeme wa gharama nafuu??

Kwaninu tusijiulize maswali mengine zaidi juu ya kutumbuliwa kwa Mramba?
Ni kweli watu yale yanaosemwa chinichini kuwa watu wa kanda ile huondolewa kwenye serikali hii kwa namna yoyote ile?

Ni kweli kwamba huwa zinatafutwa sababu au mitego kuhakikisha fulani anatumbuliwa?

Kutumbuliwa kwa Mramba kuna sababu nyingine na sio hili!!
Nawasilisha.


Anayeomba kupandisha bei ya Umeme ni TANESCO sio EWURA, ina maana wewe hujui kazi ya EWURA kweli? boresha uwezo wako wa kutafakari.
 
Anay



Anayeomba kupandisha bei ya Umeme ni TANESCO sio EWURA, ina maana wewe hujui kazi ya EWURA kweli? boresha uwezo wako wa kutafakari.

Muelewe kuwa matakwa ya sharia yanaitaka TANESCO kufanya annual power tariff review kufuatana na gharama za uendeshaji zinavyobadilika badilika, na si utashi wa Mramba. Pili TANESCO ikituma maombi ya power tariff review kwa EWURA ni juu ya EWURA kukubali, kurekebisha au kukataa moja kwa moja. Ndiyo maana aliyetangaza bei mpoya ya umeme siyo MD wa TANESCO ni DG wa EWURA kama sharia inavyotaka!!!!!!!!
 
Kabla ya yote mimi pia ni mmoja wa wanaopinga kupandisha gharama ya umeme.
Lakini pamoja na hilo kuna kitu kinaendelea hapa nchini.

Watu wanatafutiwa sababu za kutumbuliwa makusudi ilimradi uondoke tu kwenye hiyo nafasi.

Wenye Mamlaka ya kupandisha gharama za umeme ni Ewura, Tanesco wao hupeleka maombi tu. Maombi yaweza kukubaliwa au kukataliwa.

Kwa mfumo wa nchi yetu huwezi niambia kipindi Tanesco wanafanya mchakato wa kupeleka maombi ya kupandisha bei ya umeme Waziri husika alikuwa hajui au hata Rais.

Nakumbuka kabisa kipindi Tanesco wamepeleka maombi haya Ewura, na nina amini hata Waziri au Rais walikuwa wanajua hili. Kama ni kuzuia mchakato walikuwa na uwezo wa kuzuia hilo.

Lakini leo kuwaambia watanzania wenye akili kwamba eti Hili hamlikuwa mkilijua au kushirikishwa bado mnatujaza maswali.

Sasa maswali mengine yanakuja juu zaidi kuhoji ni nani aliyepandisha bei ya umeme, ni Tanesco au Ewura?

Kwanin bosi wa Ewura asitumbuliwe kukiuka sera ya Rais ya viwanda na umeme wa gharama nafuu??

Kwaninu tusijiulize maswali mengine zaidi juu ya kutumbuliwa kwa Mramba?
Ni kweli watu yale yanaosemwa chinichini kuwa watu wa kanda ile huondolewa kwenye serikali hii kwa namna yoyote ile?

Ni kweli kwamba huwa zinatafutwa sababu au mitego kuhakikisha fulani anatumbuliwa?

Kutumbuliwa kwa Mramba kuna sababu nyingine na sio hili!!
Nawasilisha.
ewura wasingepandisha endapo tanesco wasingepeleka ombi la umeme kupanda
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom