Swali la Mama Salima Bungeni: Lini serikali itapiga marufuku uingizwaji wa headphone?

Bavicha bhana mbona hamshangai walio wai pendekeza kuzuiwa kuingizwa piki piki kuthibiti ajali...
 
Yaani badala ya kuuliza kwa mfano ni lini Serikali itafanya tafiti kuthibitisha huo upupu alioambiwa salon wakati yupo kwenye "drayaa" japo bado ni swali la kipuuzi, anauliza kabisa ni lini zitapigwa marufuku kuingizwa Nchini. Hii kiwango cha ujuha ni cha juu mno. Aibu yetu.
Ha ha ha! Duh!
 
pengine yupo sahihi lakini hajaliuliza vizuri, Headphone zile za Monster, Beats, AKG na brand zinazoaminika duniani zinaweza zikawa hazileti ukiziwi, je hii mikopo yetu tunayoitoa china imethibitishwa kuwa haidhuru afya yetu? mamlaka husika wanazikagua?

-masikio ya binadamu hayatakiwi kusikiliza zaidi ya 85 decibels ikizidi hapo unadhuru masikio, headphone za kichina mpaka unafika hapo hausikii vizuri wewe unaongeza tu sauti.

pia nyengine zinakuwa hazifit vizuri, hivyo sio tu zinaumiza ngozi ya sikio bali pia hukulazimu kuongeza sauti na kudhuru sikio.

pengine amemaanisha zile headphone zetu za aggrey za 2,000
 
Mbunge wa kuteuliwa Mama Salma Kikwete katika kipindi cha maswali na majibu ameuliza kuwa, Kwa kuwa matumizi ya headphone za simu sinasababisha ukiziwi,je ni lini serikali itapiga marufuku uingizwaji wa headphone nchini?

Naibu Waziri amejibu hakuna utafiti wa kisayansi unaoonyesha headphone zinaleta ukiziwi

My Take
Maswali haya huandaliwa miezi kadhaa na kutafutiwa majibu. Inashangaza mbunge kutumia rasilimali za nchi kuandaa maswali kama haya. Nashauri unapokuwa huna swali omba nafasi yako itumiwe na kina Tundu Lissu, Hussein Bashe, Mnyika wasaidie nchi isonge


mwanaume aliefanikiwa nyuma kuna mwanamke,

Naanza kupata akili kwanini kikwete alikuwa dhaifu,
 
jamani mnamsingizia hebu wekeni video

bunge la tanzania ni "rubber stamp" ya serikali ya magufuli
 
pengine yupo sahihi lakini hajaliuliza vizuri, Headphone zile za Monster, Beats, AKG na brand zinazoaminika duniani zinaweza zikawa hazileti ukiziwi, je hii mikopo yetu tunayoitoa china imethibitishwa kuwa haidhuru afya yetu? mamlaka husika wanazikagua?
Sasa hilo ndio lilipaswa kuwa swali. Tatizo ali-conclude as if kwamba kuna utafiti ulishafanyika.
 
Daah..huyu mama kumbe mweupe kiasi hichi..bora angeendelea kumpikia mumewe na kulea wajukuu kuliko kujidharirisha huku..daah..kweli viii..l.za wengi sana nchi hii..nadhan hata aliye.teu naye haamini kilichotokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chagua unayoiona inafaa kati ya hizi nukuu:

NUKUU ZA LEO.!

1. Napenda kuwaambia wale wanaodhani siasa haiwahusu, Moja ya madhara ya kukataa kujihusisha na siasa ni kwamba utaongozwa na watu uliowazidi akili. Na kwa upungufu wao wa akili watafanya maamuzi ya kila kitu kinachohusu maisha yako - Plato

2. Kama hatuamini uhuru wa maoni kwa wapinzani wetu, basi hatuamini katika uhuru wa maoni kabisa. Kwa sababu wafuasi wetu hawahitaji uhuru wa kusema, bali wapinzani wetu - Noam Chomsky

3. Changamoto kubwa ya ulimwengu kwa sasa ni kwamba wenye akili hawataki kujihusisha na siasa, na hivyo wajinga wamepewa mamlaka ya kuwatawala wenye akili na wasio na akili - Donald Trump

4. Sipendi vichekesho (comedy), lakini napotaka kucheka hufuatilia namna serikali inavyofanya mambo yake - Will Rogers
 
Back
Top Bottom