zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
husika na kichwa ya habari hapo juu.
Afu madame ile photo uliyotoka kizungu umevaa jeans camera umeipa mgongo! Aisey lile ni zigo au?Me nilivyo ni kwa sababu Mungu hakupenda niwe vile nisivyo.
Afu madame ile photo uliyotoka kizungu umevaa jeans camera umeipa mgongo! Aisey lile ni zigo au?
Aspirin alikuotea vizuri kukuphotoa, manaake kwa harakaharaka nilidhani ni furushi la dobi anaenda kufua! Khaa! Nchi nyingine laivo ungelipia Tax levy!
Haya bana, nawe mwone Judgement anavyojipa raha mwenyewe. Haya niambie nikiwafungisha ndoa kwa mujibu wa katiba, hamtaendana??
Haya bana, nawe mwone Judgement anavyojipa raha mwenyewe. Haya niambie nikiwafungisha ndoa kwa mujibu wa katiba, hamtaendana??
mimi ni mwanamke......na wakati mwingine ni mwanaume.....unataka kujua how......?
Harusi si mpaka mfunge? Najaribu kuyatafakari maisha yako na Judgement kijijini huko baada ya kukabiliwa na waya mkali.Babu utakuwa haujatutendea haki,kumtoa nyonga mkalia ini akiwa kwenye pipa letu la ubwabwa.
Hebu kwanza tupiamo picha yetu ya harusi itakavyokuwa...
Harusi si mpaka mfunge? Najaribu kuyatafakari maisha yako na Judgement kijijini huko baada ya kukabiliwa na waya mkali.
Me nilivyo ni kwa sababu Mungu hakupenda niwe vile nisivyo.
baby nikuijie twende lunch?
Beib wangu,we njoo tu,kwako niko nyang'anyang'a.
Wapi leo twende ili Mtakatifu Paka Mweusi asitufate?