Mindi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2008
- 3,523
- 4,991
Hapana, ila CHADEMA ililaumiwa sana kipindi ile, sasa hao waliolaumu tunataka watuambie hapa vipi?Nauliza chadema ni kijito cha utakaso?
Hapana, ila CHADEMA ililaumiwa sana kipindi ile, sasa hao waliolaumu tunataka watuambie hapa vipi?Nauliza chadema ni kijito cha utakaso?
jUZI MBUNGE MSTAAFU WA IGUNGA ALITAMKA MANENO KUNTU SANA...AMERUDI KWA SABABU MAZINGIRA YA KUFANYA BIASHARA YAMEBORESHWA! HAMKUMWELEWA...MAZINGIRA YALE ALIYOKUWA ANAFANYIA BIASHARA ZAKE SASA YAMERUDI TENA MNAJIULIZA NINI!Walisemwa sana. Kwasasa wananchi wananong'ona chinichini kuwahusu. Urafiki na Serikali iliyopo madarakani unaimarika siku hadi siku. Kila mahala wanapokuwepo na kila maneno wanayoyasema, wanaisifu Serikali kadiri ya uwezo wao. Serikali hii ni ile ile iliyoingia ikijipambanua kuwa iko kwenye vita dhidi ya mafisadi. Rais huyu ni yule yule anayeuchukia ufisadi chamani na Serikalini.
Rostam, Lowassa na Chenge wako ndani ya CCM muda huu. Wako ndani ya chama 'kinachochukia' wizi na ufisadi. Wapo ndani ya chama kinachounda Serikali iliyo kwenye vita dhidi ya ufisadi na wizi chamani na Serikalini. Rostam, Lowassa na Chenge walipachikwa jina la 'Mapacha Watatu' chamani wakati ule wa Rafiki yangu Wilson Mukama.
Kutokana na mtiririko na historia yao chamani, Rostam, Lowassa na Chenge ni mafisadi au si mafisadi? Makada wa CCM tunapaswa kulijibu swali hili bila aibu wala woga. Nguvu waliyonayo chamani isifanye tumuache Rais na Mwenyekiti wetu ajongeane na 'mafisadi' hawa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Ehe! Walilaumiwa halafu wakafanya maamuzi yao kwa mazingatio yapi? Fisadi au si fisadi?Hapana, ila CHADEMA ililaumiwa sana kipindi ile, sasa hao waliolaumu tunataka watuambie hapa vipi?
Walisemwa sana. Kwasasa wananchi wananong'ona chinichini kuwahusu. Urafiki na Serikali iliyopo madarakani unaimarika siku hadi siku. Kila mahala wanapokuwepo na kila maneno wanayoyasema, wanaisifu Serikali kadiri ya uwezo wao. Serikali hii ni ile ile iliyoingia ikijipambanua kuwa iko kwenye vita dhidi ya mafisadi. Rais huyu ni yule yule anayeuchukia ufisadi chamani na Serikalini.
Rostam, Lowassa na Chenge wako ndani ya CCM muda huu. Wako ndani ya chama 'kinachochukia' wizi na ufisadi. Wapo ndani ya chama kinachounda Serikali iliyo kwenye vita dhidi ya ufisadi na wizi chamani na Serikalini. Rostam, Lowassa na Chenge walipachikwa jina la 'Mapacha Watatu' chamani wakati ule wa Rafiki yangu Wilson Mukama.
Kutokana na mtiririko na historia yao chamani, Rostam, Lowassa na Chenge ni mafisadi au si mafisadi? Makada wa CCM tunapaswa kulijibu swali hili bila aibu wala woga. Nguvu waliyonayo chamani isifanye tumuache Rais na Mwenyekiti wetu ajongeane na 'mafisadi' hawa!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
[QUOTE="...Kutokana na mtiririko na historia yao chamani, Rostam, Lowassa na Chenge ni mafisadi au si mafisadi?"
IJAPOKUWA MIMI SIYO KADA WA CCM (NA SINA MPANGO WA KUWA KADA WA CCM) NINASHAWISHIKA KUKUJIBU, NA JIBU LANGU NI HILI "ROSTAM, LOWASSA NA CHENGE SIO TUU MAFISADI, BALI NI MAFISADI PAPA"
Tafuta kwanza hotuba ya 2007 mwembeyanga. Rostam ni CCM na haijawai kuhama chama.
"Mwenye ushahidi aende nao Mahakamani!" Alisema mmoja wao!
Siasa za majitaka
Tumuulize dj mbowe alipompa Lowassa kugombea urais kwa tiketi ya chadema alikua fisadi au si fisadi , naomba majibu.
M
Majibu anayo dj mbowe
Tafuta kwanza hotuba ya 2007 mwembeyanga. Rostam ni CCM na haijawai kuhama chama.
Kuhusu Lowasa, alisema mwenyewe kwamba alifanywa kuwa mbuzi wa kafara, kulinda mafisadi wa CCM. Na ndio maana maskandali mengi tu yaliendelea kufumuka long time baada ya Lowasa kujiuzulu. Lowasa alisema wazi hata kwenye kikao kwamba alijiuzulu ili kumlinda Rais. na hata Mwakyembe alisema kuna mambo wameyagundua na wameamua kuyaacha yalivyo. hayo ni historia inajulikana.Ehe! Walilaumiwa halafu wakafanya maamuzi yao kwa mazingatio yapi? Fisadi au si fisadi?
acha kuweweseka😂😂😂😂Mmeishiwa hoja sasa mnaitwa zoa zoa
Mkuu mindi usipate shida saana kujieleza , swali ni jepesi tu, na jibu lake halina mzunguruko kama wa msamvu ,je ni fisadi , gamba au fisadi papa.Kuhusu Lowasa, alisema mwenyewe kwamba alifanywa kuwa mbuzi wa kafara, kulinda mafisadi wa CCM. Na ndio maana maskandali mengi tu yaliendelea kufumuka long time baada ya Lowasa kujiuzulu. Lowasa alisema wazi hata kwenye kikao kwamba alijiuzulu ili kumlinda Rais. na hata Mwakyembe alisema kuna mambo wameyagundua na wameamua kuyaacha yalivyo. hayo ni historia inajulikana.
Sasa shida ni kwamba CCM mliendelea kusema kwamba Lowasa ni FISADI. sasa kama hiyo ndiyo imani yenu, inakuwaje mmewapokea hao mafisadi wote?????
Mkuu mindi usipate shida saana kujieleza , swali ni jepesi tu, na jibu lake halina mzunguruko kama wa msamvu ,je ni fisadi , gamba au fisadi papa.
Kuamini kwamba serikali ya wanzuki inapambana na ufisadi ni aina mojawapo ya self-disrespect.
acha kuweweseka