Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,961
Rais wa Nchi akiwa Mwanaume, mkewe hutambulika kama "First Lady"
Mfano Rais wa Tanzania ni John Magufuli, hivyo mkewe Janeth Magufuli ndio First Lady wetu.
Sasa swali langu linakuja, Kama Rais wetu akiwa Mwanamke, mumewe tutamuitaje?
Mfano Rais angekuwa Mama Samia Suluhu, Mumewe tungemuitaje? Msaada jamani kwa anaejua.
Mfano Rais wa Tanzania ni John Magufuli, hivyo mkewe Janeth Magufuli ndio First Lady wetu.
Sasa swali langu linakuja, Kama Rais wetu akiwa Mwanamke, mumewe tutamuitaje?
Mfano Rais angekuwa Mama Samia Suluhu, Mumewe tungemuitaje? Msaada jamani kwa anaejua.