Swali la kizushi??

Konaball

JF-Expert Member
Mar 11, 2009
2,949
1,940
Wanawake neno kaa vizuri lina maana mbili
1-mchana ukimwabia kaa vizuri anabana mapaja
2-usiku ukimwambia kaa vizuri anapanua mapaja. lipi ni sahihi? naomba jibu
 
MH!!! kamanda nina wasi wasi na unachotaka kumaanisha hapa kama ni cha kweli, jaribu kufafanua vizuri ama laa linaweza kuwa tusi kubwa sana hasa kwa mtu muhimu sana kt maisha yako (MAMA). Umefanya utafiti kweli? maana hujaweka mipaka ktk maelezo yako umesema wanawake including dada zako,mama yako na wengineo. Kw hiyo unataka kuniambia ukikaa na MAMA yako( akina mama mtaniwia radhi nawaheshimu sana) mchana akiambiwa kaa vizuri, anabana miguu, ukimwambia usiku ....?. Ingekuwa sahihi ungefafanua kwa kusema ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimwambia akae vizuri mchana atabana miguu, usiku atachanu na sio usiku tuu kwani hayo mambo yanafanyika hata asubuhi au mchana ungesema mkiwa FARAGHA ukimwambia akae vizuri atachanua. WAsitiri basi MAMA na Dada zetu bana.
 
Back
Top Bottom