MH!!! kamanda nina wasi wasi na unachotaka kumaanisha hapa kama ni cha kweli, jaribu kufafanua vizuri ama laa linaweza kuwa tusi kubwa sana hasa kwa mtu muhimu sana kt maisha yako (MAMA). Umefanya utafiti kweli? maana hujaweka mipaka ktk maelezo yako umesema wanawake including dada zako,mama yako na wengineo. Kw hiyo unataka kuniambia ukikaa na MAMA yako( akina mama mtaniwia radhi nawaheshimu sana) mchana akiambiwa kaa vizuri, anabana miguu, ukimwambia usiku ....?. Ingekuwa sahihi ungefafanua kwa kusema ukiwa na mpenzi wako wa kike ukimwambia akae vizuri mchana atabana miguu, usiku atachanu na sio usiku tuu kwani hayo mambo yanafanyika hata asubuhi au mchana ungesema mkiwa FARAGHA ukimwambia akae vizuri atachanua. WAsitiri basi MAMA na Dada zetu bana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.