Kuachwa ni suala la kiroho zaidi, sio la kimwili. Zama rohoni kavuruge mipango, au pambana kimwili upate maumivu ya moyoKatika mahusiano yeyote yale kuachwa ni jambo la kawaida lakini ndani ya mahusiano ukigundua kuna dalili za kuachwa na mpenzi wako
Huwa unachukua hatua gani mapema kukabiliana mapema na hali hiii maana kuachwa kunauma haswa kwa yule umpendaye?
Namchana hatapata mtu kama mm milele..afu namkachaKatika mahusiano yeyote yale kuachwa ni jambo la kawaida lakini ndani ya mahusiano ukigundua kuna dalili za kuachwa na mpenzi wako
Huwa unachukua hatua gani mapema kukabiliana mapema na hali hiii maana kuachwa kunauma haswa kwa yule umpendaye?
wee kiboko lolNamchana hatapata mtu kama mm milele..afu namkacha
Namwita nalala naye halafu hiyo siku nampa vizuri mpaka natoa penzi motomoto.Katika mahusiano yeyote yale kuachwa ni jambo la kawaida lakini ndani ya mahusiano ukigundua kuna dalili za kuachwa na mpenzi wako
Huwa unachukua hatua gani mapema kukabiliana mapema na hali hiii maana kuachwa kunauma haswa kwa yule umpendaye?
Ni mwanaume mmoja nilimweka moyoni sana,nanilipoachana naye nilikunywa sana nakuvuta bangi hadi kichwa kikata moto nilikuwa kwa rafiki yangu .Kuachwa ni suala la kiroho zaidi, sio la kimwili. Zama rohoni kavuruge mipango, au pambana kimwili upate maumivu ya moyo
Ukiona dalili za kuachwa acha weweKatika mahusiano yeyote yale kuachwa ni jambo la kawaida lakini ndani ya mahusiano ukigundua kuna dalili za kuachwa na mpenzi wako
Huwa unachukua hatua gani mapema kukabiliana mapema na hali hiii maana kuachwa kunauma haswa kwa yule umpendaye?