swali la kizushi,Mwl Nyerere angesemaje?

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
Just thinking aloud,hivi Marehemu Mwalimu ange react vipi baada ya kusoma hii rasimu ya Katiba?
 
Just thinking aloud,hivi Marehemu Mwalimu ange react vipi baada ya kusoma hii rasimu ya Katiba?

Alikuwa ni great thinker so nahisi angesema umefika wakati wa kuanzisha serikali tatu maana watanzania wameshakomaa kwenye muungano kama alivoridhia kuanzishwa vyama vingi 1992!
 
Kwa kuwa at one time aliwahi kusema CCM siyo mama yake angeweza kunyamaza tu kwa kuogopa shinikizo la damu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Alikuwa ni great thinker so nahisi angesema umefika wakati wa kuanzisha serikali tatu maana watanzania wameshakomaa kwenye muungano kama alivoridhia kuanzishwa vyama vingi 1992!
Mkuu OSOKONI unakumbuka Mwalimu alivyowafurumusha Late Kolimba na Mzee Malecela kwa 'kumpotosha' Mzee Mwinyi juu ya madai ya G55 kutaka serikali tatu? Nyerere hakuwa mtu wa kubadilika kihivyo.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuwa Mwalimu alikuwa MZALENDO na MWEREVU angesema rasimu ya katiba imezingatia matakwa ya WAKATI tulionao.
 
Kwa kuwa at one time aliwahi kusema CCM siyo mama yake angeweza kunyamaza tu kwa kuogopa shinikizo la damu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Hili sidhani kama angelinyamazia......he always said 1+1=2
 
Kwa kuwa Mwalimu alikuwa MZALENDO na MWEREVU angesema rasimu ya katiba imezingatia matakwa ya WAKATI tulionao.

Kambarage wa Burito? Aliyewaambia IMF/WB hawezi kugeuka jiwe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom