Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Baada ya kusikia habari za Nyamagana, Mbeya Mjini na sasa Iringa Mjini; na kuja kugundua kuwa viongozi wa umma wanaweza kufanyia matengenezo ofisi za umma na kuzipamba kwa gharama zao na muda wao ukiisha ni halali kwao kuondoa na "vilivyo vyao" na nikizingatia kuwa hadi hivi sasa hakuna kiongozi yeyote wa juu wa CCM aidha aliyetoa mwongozo wa nini kifanyike au kukemea ninachukulia kuwa yanayoendelea aidha yamepata kibali au yamebarikiwa (nadhani ni kitu kile kile) na uongozi huo.
Kama ni hivyo, wazo moja baya limenijia ambalo nimejaribu kulikataa sana maana yake. Swali lenyewe ndiyo hilo limekaa kizushi zushi. Sijui nauliza nini lakini nadhani nauliza kitu.
Kama ni hivyo, wazo moja baya limenijia ambalo nimejaribu kulikataa sana maana yake. Swali lenyewe ndiyo hilo limekaa kizushi zushi. Sijui nauliza nini lakini nadhani nauliza kitu.