Ila mnafaidi bana, daaah
hahahahh!!! nilijisahau nikajikuta nimeleft, kausha basi. lolHahahahahaha lol! Kumbe nawe unawaunga mkono!? halafu mbona umejiondoa kundini? Kundi la wagegedaji!?
hahahahh!!! nilijisahau nikajikuta nimeleft, kausha basi. lol
Ningekuwa hapahapa nilipo kwa wakati huu huu nafanya hili hili na huyu huyu!Wakuu ni hivi!!
Hivi kwa mfano hapo hapo ulipo kwa umri ulonao!!!swali hapa ni je!!!ukekuwa mwanamke mpaka sasa kwa umri huo ungekuwa wapi???
We shindwa!Ha ha ha wangekua wanakuna nazi