Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Nini sababu ya mtu aliyepata divisheni ziro kutopewa cheti cha kidato cha nne au cha sita? Si ni matokeo aliyoyapata baada ya kushiriki mitihani? Kitamsaidiaje, hiyo si ni yeye mwenyewe atajua? Gharama za cheti - si alilipia mitihani sawa na wenziwe? Ziro si ni moja tu ya matokeo ya mitihani? Kwani ziro inaweza kutolewa kwa mtu asiyefanya mtihani?