Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Nimepata divisheni ziro. Nimependa kujiunga kozi chuo. Ada nitajilipia mwenyewe. Mkopo sitaki. Kozi ina nafasi. Kwa nini nizuiliwe kujiunga na kozi ya digirii chuo?
Nikienda chuo na ziro yangu, si nitafeli tu mwaka wa kwanza kama kweli ziro ina maana sina uwezo? Nitakayepata hasarasi ni ni mimi? Nyie kinawauma nini?
Kama nisipofeli masomo ya chuo, digirii itakuwa na mapungufu gani mimi kuipata, hata kama nina divisheni ziro huko nilikotoka?
Enzi za ujamaa wakati kila kitu serekali ilikuwa inalipia, ilikuwa sawa kuweka masharti nani ajiunge chuo. Hivi sasa si kila mtu analipiwa na serikali. Kwa nini kuwe na vizingiti kujiunga na elimu ya juu?
Nawasilisha.
Nikienda chuo na ziro yangu, si nitafeli tu mwaka wa kwanza kama kweli ziro ina maana sina uwezo? Nitakayepata hasara
Kama nisipofeli masomo ya chuo, digirii itakuwa na mapungufu gani mimi kuipata, hata kama nina divisheni ziro huko nilikotoka?
Enzi za ujamaa wakati kila kitu serekali ilikuwa inalipia, ilikuwa sawa kuweka masharti nani ajiunge chuo. Hivi sasa si kila mtu analipiwa na serikali. Kwa nini kuwe na vizingiti kujiunga na elimu ya juu?
Nawasilisha.