Ukishimu wengine nawe utaheshimiwa kitendo cha Nape kumdhalilisha Dr . Slaa unaona ni sawa? je unakumbuka maneno machafu aliyoyatoa Nape akiwa Mwanza nadhani kwenye kampeni za udiwani pale furahisha? , Umesahau matus aliyoyatoa majuzi kwenye ziara kusini?
Binafi Nape awali nilikuwa namueshimu sana enzi zile za arakati za kuipigania UVCCM na ufisadi lakini kumbe ilikuwa ni njaa tu sasa ameshiba anaanza kuonekana sura yake halisi kiukweli amekuwa mtu wa ovyo sana tofauti na fukra zangu za awali mtu kama huyo huwezi tegemea aheshimiwe wakati hiyo hadhi hana.
Kwa mwendo huu namtabiria hali mbaya sana ya kisiasa mbele ya safari.
ukweli siku zote ni dawa chungu, hana budi kumeza hivyo hivyo, pili wewe si msemaji wa nape, mwache mwenyewe aseme
Nadhani Nape ndiye angeanza kuwa na hayo maadili kwanza. Lugha za mitaani anazoziandika hapa hata hazifanani na wadhifa wake. Kwa jinsi hiyo ndio maana watu wanajibu hoja zake kulingana na lugha anayoitumia yeye mwenyewe!!!
sipendi kujdili personalities lakini haya madai yapn sehemu nyingi,Nape nadhani hii nguvu unayoitumia kutunga uongo dhiki ya CHADEMA ungeitumia kumjua BABA yako ni nani kati ya MWANDOSYA na MNAUYE.