Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,416
- 85,844
Utakuta kunakua na kesi ambayo ni nzuri kabisa lakini kwa makusudi au kwa kukosa weledi utakuta wahusika wanaachwa hawachukuliwi hatua lakini the same thing inakuja kutokea na Wahusika wanakamatwa. Unaanza kujiuliza kweli hawa watu wanatumia taaluma zao au wanatumia taaluma za watu wengine???