Swali la kizushi: Hivi ni nani anayepata umeme unit moja kwa shillingi 100?

Batale

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,148
555
Nimeuliza hivyo kwa sababu nina maeneo mawili yatumiayo umeme chini ya unit 30 kwa mwezi kila upande. Lakini ninunuapo umeme wa 10000 kila site napata unit 28 sawa na @ 350 kwa unit. Sasa najiuliza hii bei ya sh 100 kwa unit ni kwa vigezo vipi au tunapigwa changa la macho kama ilivo kwa PAYE, VAT kwa taasisi za fedha n.k?
 
Ili upate tarrif 4 inabidi upeleke TANESCO kumbukumbu za miezi mitatu kuwa matumizi yako ni chini ya unit hizo sabini. Pamoja na barua ya maombi kuhamishiwa tariff hiyo 4. Sasa suala la kushughulikiwa tatizo lako ni la meneja wa TANESCO. Maombi mengi hayashughulikiwi. Pia ukiwa tarrif 4 unatakiwa ununue umeme wa sh 9000. Tanesco wameweka mfumo automatic ukizidisha tu unarudishwa tariff 1. Jirani zangu wengi wamerudishwa tariff 1.
 
Nimeuliza hivyo kwa sababu nina maeneo mawili yatumiayo umeme chini ya unit 30 kwa mwezi kila upande. Lakini ninunuapo umeme wa 10000 kila site napata unit 28 sawa na @ 350 kwa unit. Sasa najiuliza hii bei ya sh 100 kwa unit ni kwa vigezo vipi au tunapigwa changa la macho kama ilivo kwa PAYE, VAT kwa taasisi za fedha n.k?
Ref 3GG84TWVKC
43001582287
Rcpt MAXCO33EMDB64085254
Units 41.0KWH

Token 0192 9835 3213 8999 8228

Cost TZS 4098.37
Serv Charge TZS 0.00
Tax TZS 901.63
Total TZS 5000
eSign
 
Nimeuliza hivyo kwa sababu nina maeneo mawili yatumiayo umeme chini ya unit 30 kwa mwezi kila upande. Lakini ninunuapo umeme wa 10000 kila site napata unit 28 sawa na @ 350 kwa unit. Sasha najiuliza hii bei ya sh 100 kwa unit ni kwa vigezo vipi au tunapigwa changa la macho kama ilivo kwa PAYE, VAT kwa taasisi za fedha n.k?[/QUO
sh 10000 unatoa sh 1800 VAT zinabaki sh 8200. kwa hiyo bei ya Umeme kwa unit ni sh 291.69
 
Ref 3GG84TWVKC
43001582287
Rcpt MAXCO33EMDB64085254
Units 41.0KWH

Token 0192 9835 3213 8999 8228

Cost TZS 4098.37
Serv Charge TZS 0.00
Tax TZS 901.63
Total TZS 5000
eSign
Na wewe unaibiwa! Kama una uhakika kwamba matumizi yako ni chini ya unit 70 tumia ushauri wa mkuu ding'ano hapo juu! Ukipeleka taarifa zako TANESCO utakuwa unapata units 75 kwa kulipa Tsh. 9150/= ukizidisha tu sijui ukalipa 9500 hapo hapo unakatwa Tsh. 329/= @ unit. Hii inalipa ndo hata Mimi ninatumia!
 
Ili upate tarrif 4 inabidi upeleke TANESCO kumbukumbu za miezi mitatu kuwa matumizi yako ni chini ya unit hizo sabini. Pamoja na barua ya maombi kuhamishiwa tariff hiyo 4. Sasa suala la kushughulikiwa tatizo lako ni la meneja wa TANESCO. Maombi mengi hayashughulikiwi. Pia ukiwa tarrif 4 unatakiwa ununue umeme wa sh 9000. Tanesco wameweka mfumo automatic ukizidisha tu unarudishwa tariff 1. Jirani zangu wengi wamerudishwa tariff 1.
Je, unit 1 kwa 292 ni tariff ya ngapi?
 
Tatzo lako UNAISHI kwa HISIA sana na USHABIKI wa kipuuzi HIVI hiyo mia unayoongelea IKATWI KODI?????wakati mwingne muwe mnatumia BONGO zenu na si MUDA WOTE KUWEKA USHABIKI NA CHUKI MBELE.......ni kweli umeme unauzwa kwa 100 kwa unit na kumbuka kwenye hiyo elah unayolipa lazima kodi ukatwe,,,,,,,
 
Ref 3GG84TWVKC
43001582287
Rcpt MAXCO33EMDB64085254
Units 41.0KWH

Token 0192 9835 3213 8999 8228

Cost TZS 4098.37
Serv Charge TZS 0.00
Tax TZS 901.63
Total TZS 5000
eSign
Hii token ni Tar Gani kiongozi??
 
Nimeuliza hivyo kwa sababu nina maeneo mawili yatumiayo umeme chini ya unit 30 kwa mwezi kila upande. Lakini ninunuapo umeme wa 10000 kila site napata unit 28 sawa na @ 350 kwa unit. Sasa najiuliza hii bei ya sh 100 kwa unit ni kwa vigezo vipi au tunapigwa changa la macho kama ilivo kwa PAYE, VAT kwa taasisi za fedha n.k?
Kwa Tsh. 9000 mimi napata unit 73, na ninatumia miezi mitatu!
 
Na wewe unaibiwa! Kama una uhakika kwamba matumizi yako ni chini ya unit 70 tumia ushauri wa mkuu ding'ano hapo juu! Ukipeleka taarifa zako TANESCO utakuwa unapata units 75 kwa kulipa Tsh. 9150/= ukizidisha tu sijui ukalipa 9500 hapo hapo unakatwa Tsh. 329/= @ unit. Hii inalipa ndo hata Mimi ninatumia!
Teh teh...mkuu unamshauri kufanya jambo ambalo ameshalifanya!!!!
 
Watumishi wa tanesco wanapata umeme chini ya tsh. 100 kwa unit kwa sababu wanalipa tsh 10,000/= wanapewa unit 200 kwa mwezi
 
Hii imenifanya nikumbuke kijijini kuna familia ilikuwa na babu na bibi so walikuwa wakiwasha umeme ni saa moja hadi saa mbili wanalala bili ilikuwa inarange 500-1500 meter za kuzunguka ila alikuwa anatumia nauli ya 3000 kwenda kulipa tanesco hadi wasamaria wakaambia wakadeposit hiyo hela na wengine wakawasaidia kulipia
 
Back
Top Bottom