Swali la Kizushi: Hii imekaaje?

Huyu Mlinzi Wa Rais Wetu, Anatoka Wapi Kati Ya Kwenye Chama Au Serikalini? Kama ni Serikalini Je Anaruhusiwa " KIMAADILI " Kuvaa Sare Za Chama Kama Picha Zinavyoonyesha Hapo Chini? Wataalam Mje Mtufahamishe Pliz!!

Rais-Magufuli-3.jpg

Wa Kwanza Kushoto. Wakitoka Muhimbili

Mke+wa+MAGU.jpg

Wa kwanza Kulia waliosimama. Nyuma ya Mama Janeth.


kijiji-cha-Siuyu-mkoani-Singida-Magufuli-baada-ya-kutoa-kuhani-msiba-wa-mdogo-wa-Padre-Kitima-1.jpg

Wa kwanza Kushoto Mwenye Kofia Ya Cowboy na Tisheti ya CCM. Hapa ni wakati wa Kampeni

IMG_0385.JPG

Aliyening'inia Kwenye Gari Moja Na Magufuli

_MG_9625.jpg

Wa Pili Kutoka Kulia Mwenye Shati La Kijani Na Kofia Nyeusi. Hapa Ilikuwa Kwenye Kampeni Mwanza.
CC: Kibo10 Ritz Salary Slip VUTA-NKUVUTE
Kwa mujibu wa Jina lako mkuu nafikiri una majibu ya Hilo swali lako.
 
Huyu Mlinzi Wa Rais Wetu, Anatoka Wapi Kati Ya Kwenye Chama Au Serikalini? Kama ni Serikalini Je Anaruhusiwa " KIMAADILI " Kuvaa Sare Za Chama Kama Picha Zinavyoonyesha Hapo Chini? Wataalam Mje Mtufahamishe Pliz!!

Rais-Magufuli-3.jpg

Wa Kwanza Kushoto. Wakitoka Muhimbili

Mke+wa+MAGU.jpg

Wa kwanza Kulia waliosimama. Nyuma ya Mama Janeth.


kijiji-cha-Siuyu-mkoani-Singida-Magufuli-baada-ya-kutoa-kuhani-msiba-wa-mdogo-wa-Padre-Kitima-1.jpg

Wa kwanza Kushoto Mwenye Kofia Ya Cowboy na Tisheti ya CCM. Hapa ni wakati wa Kampeni

IMG_0385.JPG

Aliyening'inia Kwenye Gari Moja Na Magufuli

_MG_9625.jpg

Wa Pili Kutoka Kulia Mwenye Shati La Kijani Na Kofia Nyeusi. Hapa Ilikuwa Kwenye Kampeni Mwanza.
CC: Kibo10 Ritz Salary Slip VUTA-NKUVUTE

Jibu langu kwako ni kuwa Masuala ya Ulinzi wa Rais waachie professionals...usiiingilie masuala ambayo ni nyeti...inaelekea wewe ni 'layman' wa masuala ya ulinzi.
 
Back
Top Bottom