johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,867
- 141,797
Huko nyuma katika awamu zilizopita ilikuwa ni rahisi kuvikagua vyama vidogo vya siasa lakini inapofika kwa Chadema na CCM wakaguzi walishikwa na kigugumizi. Ndio nawauliza waungwana, katika awamu hii ya hapa kazi tu CAG atathubutu kutimba lumumba na ufipa kukagua mahesabu ya " fedha " za ruzuku na matumizi yake pamoja na miradi mingine? Ijumaa njema!