Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Ukiangalia ushahidi wote uliopo utaona kuwa wenye hisia za kujitenga na kujiweka kiupekee ni watu wa Zanzibar siyo watu wa Tanganyika. Karibu mambo yote ya kujibagua wamefanya wao... si kweli?
Wao wanasema "nchi yao" tukisema "nchi yao" wanasema tunawabagua?
Wao wanasema "nchi yao" tukisema "nchi yao" wanasema tunawabagua?