Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,790
- 6,764
Habari zenu mama, dada, shangazi, bibi wote wa MMU.
Swali langu ni je kuna kuwa na agano lolote na mtu aliyewaingiza ukubwani?
nalisema hili kwa sababu kila siku napata mitihani mingi ya mahusiano. nilipompata huyu niliye naye na baada ya ya kwenda naye kujitambulisha ukweni nilipatwa na mshangao. katika tembea tembea mara ghafla mwandani wangu akastuka na ka jasho kwa paji la uso(kama nd linaanza) japo alijikaza ili nisijue lakini nilishaelewa mchezo nikatulia kama sijaona kitu. sasa mimi na ushushu wangu nikafanya mpango wa kutaka kumjua vizuri. nikafanikiwa kumpata rafiki yake na yule jamaa tukapita sehemu tukanywa mbege na maswali yangu ya kuzuga ndipo nikapata ka ukweli(sina uhakika saaana) kuwa jamaa yule alimtoga usichana wake. sasa nd nikapata picha na siku ile niliyokutana nacho. embu msaada kwenu kuna kama connection au kuna nini haswa na first love?
asante
Swali langu ni je kuna kuwa na agano lolote na mtu aliyewaingiza ukubwani?
nalisema hili kwa sababu kila siku napata mitihani mingi ya mahusiano. nilipompata huyu niliye naye na baada ya ya kwenda naye kujitambulisha ukweni nilipatwa na mshangao. katika tembea tembea mara ghafla mwandani wangu akastuka na ka jasho kwa paji la uso(kama nd linaanza) japo alijikaza ili nisijue lakini nilishaelewa mchezo nikatulia kama sijaona kitu. sasa mimi na ushushu wangu nikafanya mpango wa kutaka kumjua vizuri. nikafanikiwa kumpata rafiki yake na yule jamaa tukapita sehemu tukanywa mbege na maswali yangu ya kuzuga ndipo nikapata ka ukweli(sina uhakika saaana) kuwa jamaa yule alimtoga usichana wake. sasa nd nikapata picha na siku ile niliyokutana nacho. embu msaada kwenu kuna kama connection au kuna nini haswa na first love?
asante