Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,030
- 71,250
MamboKukosa kunaumiza
MamboKukosa kunaumiza
hahaaaa huyo kaka ni chizii ,umenichekesha sanaIla kuna jamaa office mate yeye zile za mtongozo wa barabarani akiona mrembo anamtolea nje husema nimekukumbuka wewe juzi nilikuona unapata haja kubwa pale mtaa fulani (akitumia neno husika) mwanamke gani wewe hata kujiheshimu hujiheshimu mara ya kwanza kusikia hivyo nilicheka sana LoL hahahahaha
Inategemeana aiseeh. Ujue sie wanaume wengine unaweza kukuta unatongoza demu wa kawaida ili uweze kusafisha rungu kisela hasa unapokuta hadi huyo wa kawaida kakutosa ndiyo unaishia kubaki kuhamaki yaani HADI HUYU DEMU WA KAWAIDA KANIKAZIAHabarini za jioni wapendwa ....Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nisiwachoshe sana hebu twendeni kwenye hili swali kwa upande wangu naonaga ni tatito sana hasa kwa wanaume.
Eeeti kwanini wanaume wengi wakikataliwa na wasichana huishia kusema demu mwenyewe ni wa kawaida tuu hata kama ni alikuwa mzuri sana
Wewe umeshawakataa wangapi?
Mkuu wewe ni Me au ni Ke?Wengi tuuu
hahaaaa huyo kaka ni chizii ,umenichekesha sana
Habarini za jioni wapendwa ....Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nisiwachoshe sana hebu twendeni kwenye hili swali kwa upande wangu naonaga ni tatito sana hasa kwa wanaume.
Eeeti kwanini wanaume wengi wakikataliwa na wasichana huishia kusema demu mwenyewe ni wa kawaida tuu hata kama ni alikuwa mzuri sana