nyakandula
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 1,198
- 1,595
Sio wote mm nasemaga huyu dem sio level yangu
Anakua kama hako ka avatar kako.kwani demu wa kawaida ndo anakuwaje
thankAnakua kama hako ka avatar kako.
Hili jambo ni kama zoezi la Hisabati, linahitaji kanuni na akili ya kufikiria ili uweze kukokotoa kwa usahihi.Habarini za jioni wapendwa ....Poleni na majukumu ya hapa na pale. Nisiwachoshe sana hebu twendeni kwenye hili swali kwa upande wangu naonaga ni tatito sana hasa kwa wanaume.
Eeeti kwanini wanaume wengi wakikataliwa na wasichana huishia kusema demu mwenyewe ni wa kawaida tuu hata kama ni alikuwa mzuri sana
kwani demu wa kawaida ndo anakuwaje
Anakua kama hako ka avatar kako.
thank