Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Kwanini viongozi wengi wa Africa hung'ang'ani madarakani baada ya muda wao kuisha? mfano Marais, Mwenyeviti wa vyama n.k.
kwa nini viongozi wengi wa Africa hung'ang'ani madarakani baada ya muda wao kuisha? mfn Marais, mwenyeviti wa vyama n.k
Kwanini viongozi wengi wa Africa hung'ang'ani madarakani baada ya muda wao kuisha? mfano Marais, Mwenyeviti wa vyama n.k.
Si bure unamsema Mbowe alienyofoa kinyemela kipengele kinachoweka ukomo wa madaraka chademaKwanini viongozi wengi wa Africa hung'ang'ani madarakani baada ya muda wao kuisha? mfano Marais, Mwenyeviti wa vyama n.k.
Na ndo maana afrika ni masikini... bila utawala bora basi hamna namna tena....
Lkn wanaong'ang'ania madaraka sio wengi kama unavyotaka aminisha gt....au tupe hisabu zaoKwanini viongozi wengi wa Africa hung'ang'ani madarakani baada ya muda wao kuisha? mfano Marais, Mwenyeviti wa vyama n.k.