Swali: kwanini CCM wanafanya mabadiliko kumlinda rais apite bila kupingwa ndani ya Chama?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Kwanini CCM wanafanya mabadiliko ya Katiba ya kumlinda Rais aliyeko madarakani (incumbent) aweze kugombea kipindi cha pili bila kupingwa ndani ya chama? Kwamba kipindi cha pili anapita bila kupingwa as long as ameshakuwa Rais awamu moja.

Wanahofia nini? Kwani Rais aliyepo madarakani akiruhusu na watu wengine kuchukua fomu ndani ya chama wakachuana kuna shida gani? Kama ameongoza vzr kipindi cha kwanza definately atawashinda tu wapinzani wake.

Lakini kuzuia watu wasigombee ili upitishwe peke yako ni woga usio na sababu. Kama unaweza kuogopa wanachama wenzio vp kwa wananchi? CCM acheni kupoteza muda kupitisha mabadiliko haya ya kijinga. Mnaweza kuzuia Rais (incumbent) asipate upinzani ndani ya chama lakini hamuwezi kuzuia asipate upinzani nje ya chama.

Mtampitisha bila kupingwa lakini akija kwa wananchi atakutana na wagombea wa CHADEMA, UDP, TLP etc. Upinzani ambao mlikataa asiupate ndani ya chama anakuja kuupata nje ya chama. Hii inakua haina maana.

Ni vizuri mkampa mgombea wenu (incumbrnt president) upinzani ndani ya chama ili imsaidie atakapokuja kupambana na wagombea wa vyama vingine. Kumpitisha peke yake ni kumfanya abweteke, na hiyo inaweza kumuathiri akija kuchuana na wagombea wa vya vingine.

Mwacheni agombee na watu wengine ndani ya chama, apingwe, ajue uchungu wa kutafuta kura, avuje jasho kutengeza conection, ajue umuhimu wa kulinda kura etc. Akimaliza hapo atakua ameiva. Akija kuchuana na wagombea wa vyama vingine hatapata changamoto kubwa, maana atakua na experienxe. Lakini mkimpa dezo ya kumpitisha bila kupingwa ndani ya chama, akija kukutana na wagombea wa vyama vingine ataona maruweruwe tu. Hatajua mikiki mikiki ya kutafuta kura.

However, hivi kwanini mumpitishe mgombea wenu apite bila kupingwa? Nyie kama chama kikongwe mnafundisha nini vyama vingine? Miaka zaidi ya 50 ya kutawala bado mnaogopa kupingwa? Shame.!

By Malisa
 
Kwanini CCM wanafanya mabadiliko ya Katiba ya kumlinda Rais aliyeko madarakani (incumbent) aweze kugombea kipindi cha pili bila kupingwa ndani ya chama? Kwamba kipindi cha pili anapita bila kupingwa as long as ameshakuwa Rais awamu moja. Wanahofia nini? Kwani Rais aliyepo madarakani akiruhusu na watu wengine kuchukua fomu ndani ya chama wakachuana kuna shida gani? Kama ameongoza vzr kipindi cha kwanza definately atawashinda tu wapinzani wake.

Lakini kuzuia watu wasigombee ili upitishwe peke yako ni woga usio na sababu. Kama unaweza kuogopa wanachama wenzio vp kwa wananchi? CCM acheni kupoteza muda kupitisha mabadiliko haya ya kijinga. Mnaweza kuzuia Rais (incumbent) asipate upinzani ndani ya chama lakini hamuwezi kuzuia asipate upinzani nje ya chama.

Mtampitisha bila kupingwa lakini akija kwa wananchi atakutana na wagombea wa CHADEMA, UDP, TLP etc. Upinzani ambao mlikataa asiupate ndani ya chama anakuja kuupata nje ya chama. Hii inakua haina maana. Ni vizuri mkampa mgombea wenu (incumbrnt president) upinzani ndani ya chama ili imsaidie atakapokuja kupambana na wagombea wa vyama vingine. Kumpitisha peke yake ni kumfanya abweteke, na hiyo inaweza kumuathiri akija kuchuana na wagombea wa vya vingine.

Mwacheni agombee na watu wengine ndani ya chama, apingwe, ajue uchungu wa kutafuta kura, avuje jasho kutengeza conection, ajue umuhimu wa kulinda kura etc. Akimaliza hapo atakua ameiva. Akija kuchuana na wagombea wa vyama vingine hatapata changamoto kubwa, maana atakua na experienxe. Lakini mkimpa dezo ya kumpitisha bila kupingwa ndani ya chama, akija kukutana na wagombea wa vyama vingine ataona maruweruwe tu. Hatajua mikiki mikiki ya kutafuta kura.

However, hivi kwanini mumpitishe mgombea wenu apite bila kupingwa? Nyie kama chama kikongwe mnafundisha nini vyama vingine? Miaka zaidi ya 50 ya kutawala bado mnaogopa kupingwa? Shame.!

By Malisa
Wanamuogopa Membe
 
Kwanini CCM wanafanya mabadiliko ya Katiba ya kumlinda Rais aliyeko madarakani (incumbent) aweze kugombea kipindi cha pili bila kupingwa ndani ya chama? Kwamba kipindi cha pili anapita bila kupingwa as long as ameshakuwa Rais awamu moja. Wanahofia nini? Kwani Rais aliyepo madarakani akiruhusu na watu wengine kuchukua fomu ndani ya chama wakachuana kuna shida gani?
1. Ni chama chao, wana haki kufanya mabadiliko wapendayo!
2. Ni kupunguza gharama zisiokuwa za lazima. Historia na utamaduni unaonyesha Rais alie madarakani huwezi kumvua uenyekiti wa chama tawala. Ushindani ndani ya chama hauna maana wala tija.
 
Hivi kuna ukweli au ni uzushi tu??

Maana kama kuna ukweli basi hiyo ni dalili mbaya, akitoka hapo atahamia kwenye katiba ya nchi!
 
ccm wana akili nyingi ndio maana wanatawala miaka mingi...

swali la kizushi mbowe ni mwenyekiti wa maisha wa chadema au?? mfumo wa uchaguz ukoje..

bora ccm mwenyekiti ni miaka 10 tu ila chadema ni mbowe tu ndio mwenyekiti
Hawajui hilo hawa nyumbu
 
Kwanini CCM wanafanya mabadiliko ya Katiba ya kumlinda Rais aliyeko madarakani (incumbent) aweze kugombea kipindi cha pili bila kupingwa ndani ya chama? Kwamba kipindi cha pili anapita bila kupingwa as long as ameshakuwa Rais awamu moja. Wanahofia nini? Kwani Rais aliyepo madarakani akiruhusu na watu wengine kuchukua fomu ndani ya chama wakachuana kuna shida gani? Kama ameongoza vzr kipindi cha kwanza definately atawashinda tu wapinzani wake.

Rough ya wao kwa wao uwanjani ni hatari kwa uhai wa chama chao na kushika dola kwani vyombo vingine vya dola ni kama wao wenyewe. Hiyo bila kupingwa hawapigi kura?

Mtampitisha bila kupingwa lakini akija kwa wananchi atakutana na wagombea wa CHADEMA, UDP, TLP etc. Upinzani ambao mlikataa asiupate ndani ya chama anakuja kuupata nje ya chama.

rough uwanjani kwa wengine ni rahisi kwani kuanzia mwamuzi na vyombo vingine ni kama wao wenyewe.
 
Kwanini CCM wanafanya mabadiliko ya Katiba ya kumlinda Rais aliyeko madarakani (incumbent) aweze kugombea kipindi cha pili bila kupingwa ndani ya chama? Kwamba kipindi cha pili anapita bila kupingwa as long as ameshakuwa Rais awamu moja. Wanahofia nini? Kwani Rais aliyepo madarakani akiruhusu na watu wengine kuchukua fomu ndani ya chama wakachuana kuna shida gani? Kama ameongoza vzr kipindi cha kwanza definately atawashinda tu wapinzani wake.

Lakini kuzuia watu wasigombee ili upitishwe peke yako ni woga usio na sababu. Kama unaweza kuogopa wanachama wenzio vp kwa wananchi? CCM acheni kupoteza muda kupitisha mabadiliko haya ya kijinga. Mnaweza kuzuia Rais (incumbent) asipate upinzani ndani ya chama lakini hamuwezi kuzuia asipate upinzani nje ya chama.

Mtampitisha bila kupingwa lakini akija kwa wananchi atakutana na wagombea wa CHADEMA, UDP, TLP etc. Upinzani ambao mlikataa asiupate ndani ya chama anakuja kuupata nje ya chama. Hii inakua haina maana. Ni vizuri mkampa mgombea wenu (incumbrnt president) upinzani ndani ya chama ili imsaidie atakapokuja kupambana na wagombea wa vyama vingine. Kumpitisha peke yake ni kumfanya abweteke, na hiyo inaweza kumuathiri akija kuchuana na wagombea wa vya vingine.

Mwacheni agombee na watu wengine ndani ya chama, apingwe, ajue uchungu wa kutafuta kura, avuje jasho kutengeza conection, ajue umuhimu wa kulinda kura etc. Akimaliza hapo atakua ameiva. Akija kuchuana na wagombea wa vyama vingine hatapata changamoto kubwa, maana atakua na experienxe. Lakini mkimpa dezo ya kumpitisha bila kupingwa ndani ya chama, akija kukutana na wagombea wa vyama vingine ataona maruweruwe tu. Hatajua mikiki mikiki ya kutafuta kura.

However, hivi kwanini mumpitishe mgombea wenu apite bila kupingwa? Nyie kama chama kikongwe mnafundisha nini vyama vingine? Miaka zaidi ya 50 ya kutawala bado mnaogopa kupingwa? Shame.!

By Malisa
anza na mwenyekiti wako wa chama ambaye hana kikomo
 
Kwanini CCM wanafanya mabadiliko ya Katiba ya kumlinda Rais aliyeko madarakani (incumbent) aweze kugombea kipindi cha pili bila kupingwa ndani ya chama? Kwamba kipindi cha pili anapita bila kupingwa as long as ameshakuwa Rais awamu moja. Wanahofia nini? Kwani Rais aliyepo madarakani akiruhusu na watu wengine kuchukua fomu ndani ya chama wakachuana kuna shida gani? Kama ameongoza vzr kipindi cha kwanza definately atawashinda tu wapinzani wake.

Lakini kuzuia watu wasigombee ili upitishwe peke yako ni woga usio na sababu. Kama unaweza kuogopa wanachama wenzio vp kwa wananchi? CCM acheni kupoteza muda kupitisha mabadiliko haya ya kijinga. Mnaweza kuzuia Rais (incumbent) asipate upinzani ndani ya chama lakini hamuwezi kuzuia asipate upinzani nje ya chama.

Mtampitisha bila kupingwa lakini akija kwa wananchi atakutana na wagombea wa CHADEMA, UDP, TLP etc. Upinzani ambao mlikataa asiupate ndani ya chama anakuja kuupata nje ya chama. Hii inakua haina maana. Ni vizuri mkampa mgombea wenu (incumbrnt president) upinzani ndani ya chama ili imsaidie atakapokuja kupambana na wagombea wa vyama vingine. Kumpitisha peke yake ni kumfanya abweteke, na hiyo inaweza kumuathiri akija kuchuana na wagombea wa vya vingine.

Mwacheni agombee na watu wengine ndani ya chama, apingwe, ajue uchungu wa kutafuta kura, avuje jasho kutengeza conection, ajue umuhimu wa kulinda kura etc. Akimaliza hapo atakua ameiva. Akija kuchuana na wagombea wa vyama vingine hatapata changamoto kubwa, maana atakua na experienxe. Lakini mkimpa dezo ya kumpitisha bila kupingwa ndani ya chama, akija kukutana na wagombea wa vyama vingine ataona maruweruwe tu. Hatajua mikiki mikiki ya kutafuta kura.

However, hivi kwanini mumpitishe mgombea wenu apite bila kupingwa? Nyie kama chama kikongwe mnafundisha nini vyama vingine? Miaka zaidi ya 50 ya kutawala bado mnaogopa kupingwa? Shame.!

By Malisa
Dah, hii kali
 
Kwanini CCM wanafanya mabadiliko ya Katiba ya kumlinda Rais aliyeko madarakani (incumbent) aweze kugombea kipindi cha pili bila kupingwa ndani ya chama? Kwamba kipindi cha pili anapita bila kupingwa as long as ameshakuwa Rais awamu moja. Wanahofia nini? Kwani Rais aliyepo madarakani akiruhusu na watu wengine kuchukua fomu ndani ya chama wakachuana kuna shida gani? Kama ameongoza vzr kipindi cha kwanza definately atawashinda tu wapinzani wake.

Lakini kuzuia watu wasigombee ili upitishwe peke yako ni woga usio na sababu. Kama unaweza kuogopa wanachama wenzio vp kwa wananchi? CCM acheni kupoteza muda kupitisha mabadiliko haya ya kijinga. Mnaweza kuzuia Rais (incumbent) asipate upinzani ndani ya chama lakini hamuwezi kuzuia asipate upinzani nje ya chama.

Mtampitisha bila kupingwa lakini akija kwa wananchi atakutana na wagombea wa CHADEMA, UDP, TLP etc. Upinzani ambao mlikataa asiupate ndani ya chama anakuja kuupata nje ya chama. Hii inakua haina maana. Ni vizuri mkampa mgombea wenu (incumbrnt president) upinzani ndani ya chama ili imsaidie atakapokuja kupambana na wagombea wa vyama vingine. Kumpitisha peke yake ni kumfanya abweteke, na hiyo inaweza kumuathiri akija kuchuana na wagombea wa vya vingine.

Mwacheni agombee na watu wengine ndani ya chama, apingwe, ajue uchungu wa kutafuta kura, avuje jasho kutengeza conection, ajue umuhimu wa kulinda kura etc. Akimaliza hapo atakua ameiva. Akija kuchuana na wagombea wa vyama vingine hatapata changamoto kubwa, maana atakua na experienxe. Lakini mkimpa dezo ya kumpitisha bila kupingwa ndani ya chama, akija kukutana na wagombea wa vyama vingine ataona maruweruwe tu. Hatajua mikiki mikiki ya kutafuta kura.

However, hivi kwanini mumpitishe mgombea wenu apite bila kupingwa? Nyie kama chama kikongwe mnafundisha nini vyama vingine? Miaka zaidi ya 50 ya kutawala bado mnaogopa kupingwa? Shame.!

By Malisa
Unaweza ukajitahidi usipingwe na wanadamu au na wanachama wenzako ukafanikiwa safiii. TATZOOO MUNGUU AKIKUKATAA!!!!!!!!
 
Vipi mbowe anavyopambana na yeyote mwenye nia ya kugombea uenyekiti cdm mpaka hatua ya kufukuzwa¿? Hata mawazo ungethubutu kuyawakilisha kwa chama chenu..huku wana ccm wameamua wenyewe
 
Back
Top Bottom