SWALI KWA WIZARA :Nini UMUHIMU WA KWENDA SHULE?

Kachanchabuseta

JF-Expert Member
Mar 8, 2010
7,269
675
WanaJamvi mimi nina maswali yangu kwa Wizara ya elimu

Nina watoto wangu bado wanaendelea kusoma lakini mimi nimetumia nguvu nyingi kusoma mpaka nimefikia hapa nilipo kwa elimu yangu inanitosha kuisha katika maisha haya, sasa nina mpango wa kuwaachisha watoto wangu shule/chuo maana siku hizi vyeti mtu unapewa hata kama hujaenda shule. Nataka kufanya uamuzi huu maana inauma na kusikitisha saana kuona watoto wangu wanaenda shule/chuo wakati wengine wanapewa vyeti na mavyeti


Maswali kwa Wizara ya Elimu

1. Taifa linaenda wapi kama kula mtu atajigawia cheti na kusema kasoma?

2. Je kuna haja gani ya watu/watoto wangu kwenda shule/chuo?

3 Kuna haja gani ya kuanzisha vyuo kama UDSM or UDOM etc?

4. Kwanni watu wanapewa vyeti na kuvitumia wakati hawajaenda dalasani? Wizara na idara zake (TCU) wamelala?

5. Kwanini watu wanatumia vyeti vyao kuwazalau walioingia darasani?


6. Je madarasa tuyageuze majumba ya makumbusho??

WanaJF msaada wenu
 
Nina watoto wangu bado wanaendelea kusoma lakini mimi nimetumia nguvu nyingi kusoma mpaka nimefikia hapa nilipo kwa elimu yangu inanitosha kuisha katika maisha haya, sasa nina mpango wa kuwaachisha watoto wangu shule/chuo maana siku hizi vyeti mtu unapewa hata kama hujaenda shule. Nataka kufanya uamuzi huu maana inauma na kusikitisha saana kuona watoto wangu wanaenda shule/chuo wakati wengine wanapewa vyeti na mavyeti


Maswali kwa Wizara ya Elimu

1. Taifa linaenda wapi kama kula mtu atajigawia cheti na kusema kasoma?

2. Je kuna haja gani ya watu/watoto wangu kwenda shule/chuo?

3 Kuna haja gani ya kuanzisha vyuo kama UDSM or UDOM etc?

4. Kwanni watu wanapewa vyeti na kuvitumia wakati hawajaenda dalasani? Wizara na idara zake (TCU) wamelala?

5. Kwanini watu wanatumia vyeti vyao kuwazalau walioingia darasani?


6. Je madarasa tuyageuze majumba ya makumbusho??
[/QUOTE
-Kwa kua kuna ulinzi shirikishi nadhani pia kuwepo na washauri shirikishi pale mambo yanapoenda mrama..kwa kua umeliona hilo nadhani unaweza kutoa ushirikiano stahidi kuwafikisha mbele ya mamlaka zilizopewa dhamana...
-Hiyo ya kuwaachisha wanao shule nadhani ni ghadhabu tu,ila si suluhisho la tatizo..
-Lengo la kuanzisha lilikua zuri,na bado ni zuri tu..kumbuka ukosefu wa maadili ya utendaji si kwenye taasisi za elimu tu,hata taasisi nyingine na mashirika yasiyokua ya elimu upo..hivyo ni vyema kujua kiini cha tatizo ili kupata suluhu kuluko kuhoji uwepo wa taasisi husika!
-TCU ndo kwanza wapya kiutendaji japo mfumo wao wameu adopt kwenye mataifa yaliyoamka mapema..nionavyo TCU wana kibarua kizito kufanya mfumo wao uende sawa na mifumo mingine yenye ubia na tasnia ya Elimu: Mfano mtu akiomba kazi ya kulazimika kuwasilisha vyeti vya elimu Tcu iaprvove kabla..nadhani taratibu zikifuatwa zitapunguza lawama pande zote!
-Dharau ni hulka ya mtu tu wala haina uhusiano wa moja kwa moja na elimu..ni dhahiri kuna wanazuoni wengi tu ambao elimu zao hazikuwapa kiburi wakashindwa kuishi na jamii inayowazunguka ktk maisha ya kila siku!
Nachangia hoja!
 
Nina watoto wangu bado wanaendelea kusoma lakini mimi nimetumia nguvu nyingi kusoma mpaka nimefikia hapa nilipo kwa elimu yangu inanitosha kuisha katika maisha haya, sasa nina mpango wa kuwaachisha watoto wangu shule/chuo maana siku hizi vyeti mtu unapewa hata kama hujaenda shule. Nataka kufanya uamuzi huu maana inauma na kusikitisha saana kuona watoto wangu wanaenda shule/chuo wakati wengine wanapewa vyeti na mavyeti


Maswali kwa Wizara ya Elimu

1. Taifa linaenda wapi kama kula mtu atajigawia cheti na kusema kasoma?

2. Je kuna haja gani ya watu/watoto wangu kwenda shule/chuo?

3 Kuna haja gani ya kuanzisha vyuo kama UDSM or UDOM etc?

4. Kwanni watu wanapewa vyeti na kuvitumia wakati hawajaenda dalasani? Wizara na idara zake (TCU) wamelala?

5. Kwanini watu wanatumia vyeti vyao kuwazalau walioingia darasani?


6. Je madarasa tuyageuze majumba ya makumbusho??
[/QUOTE
-Kwa kua kuna ulinzi shirikishi nadhani pia kuwepo na washauri shirikishi pale mambo yanapoenda mrama..kwa kua umeliona hilo nadhani unaweza kutoa ushirikiano stahidi kuwafikisha mbele ya mamlaka zilizopewa dhamana...
-Hiyo ya kuwaachisha wanao shule nadhani ni ghadhabu tu,ila si suluhisho la tatizo..
-Lengo la kuanzisha lilikua zuri,na bado ni zuri tu..kumbuka ukosefu wa maadili ya utendaji si kwenye taasisi za elimu tu,hata taasisi nyingine na mashirika yasiyokua ya elimu upo..hivyo ni vyema kujua kiini cha tatizo ili kupata suluhu kuluko kuhoji uwepo wa taasisi husika!
-TCU ndo kwanza wapya kiutendaji japo mfumo wao wameu adopt kwenye mataifa yaliyoamka mapema..nionavyo TCU wana kibarua kizito kufanya mfumo wao uende sawa na mifumo mingine yenye ubia na tasnia ya Elimu: Mfano mtu akiomba kazi ya kulazimika kuwasilisha vyeti vya elimu Tcu iaprvove kabla..nadhani taratibu zikifuatwa zitapunguza lawama pande zote!
-Dharau ni hulka ya mtu tu wala haina uhusiano wa moja kwa moja na elimu..ni dhahiri kuna wanazuoni wengi tu ambao elimu zao hazikuwapa kiburi wakashindwa kuishi na jamii inayowazunguka ktk maisha ya kila siku!
Nachangia hoja!

Nashukuru mkuu

Mtu akipewa madaraka atutegemei kuanza kujifunza, TCU ilianza tukiwa na imani ya kuweka usawa na kumonitor elimu yetu

Je kwani wakuu wanajigawia vyeti bila ya kwenda darasani??
 
Back
Top Bottom