Davortesha
Member
- Jun 19, 2021
- 83
- 119
Habari ndugu wote haswa wajasiriamali wa Dodoma mimi nimtafutaji kama walivyo watu wengine kwa sasa niko Arusha ila mambo huku hayaniendei vizuri kabisha, ila ktk kuongea na watu vijiweni wengi wamenishauri nitoke hapa nije Dodoma ila wengi wao hajaniambia nini cha kuanzanacho nikifika hapo, na mimi sitaki nije kubaharisha maisha maana na familia tayari.
Nisiwachoshe sana ila naombeni msaada wenu wa mawazo.
Nisiwachoshe sana ila naombeni msaada wenu wa mawazo.