Swali kwa wataalamu wa upimaji ardhi

Jatropha

JF-Expert Member
Apr 9, 2009
1,151
199
Eneo letu lina mchoro wa kina uitwao TP Drawing No 1195 iliyopitishwa tarhe 19 Oktoba 1996, na ambao umekuwa ikitumika kupima viwanja eneo hili. Hivi karibuni wamejitokeza watu kutoka Wizara ya ardhi wanandai hawaitambui TP Drawing hiyo na wanapima viwanja juu ya viwanja vingine vyenye offer na hata hati miliki kwa madai eti huu ni mradi.

Nauliza kutoka kwa watu wenye taaluma ya mambo haya, Je hii ni sawa? Nini maana ya mchoro kupitishwa ikiwa baadhi ya watu au taasisi zitadai haziutambui? Je ni hatua zipi wananchi tunaweza kuchukua/
 
Eneo letu lina mchoro wa kina uitwao TP Drawing No 1195 iliyopitishwa tarhe 19 Oktoba 1996, na ambao umekuwa ikitumika kupima viwanja eneo hili. Hivi karibuni wamejitokeza watu kutoka Wizara ya ardhi wanandai hawaitambui TP Drawing hiyo na wanapima viwanja juu ya viwanja vingine vyenye offer na hata hati miliki kwa madai eti huu ni mradi.

Nauliza kutoka kwa watu wenye taaluma ya mambo haya, Je hii ni sawa? Nini maana ya mchoro kupitishwa ikiwa baadhi ya watu au taasisi zitadai haziutambui? Je ni hatua zipi wananchi tunaweza kuchukua/

Jatropha;528879
Hao watu wa kwanza waliopima kabla ya hawa wapya, ni watu wa Idara gani na walitoka wapi?
 
Eneo letu lina mchoro wa kina uitwao TP Drawing No 1195 iliyopitishwa tarhe 19 Oktoba 1996, na ambao umekuwa ikitumika kupima viwanja eneo hili. Hivi karibuni wamejitokeza watu kutoka Wizara ya ardhi wanandai hawaitambui TP Drawing hiyo na wanapima viwanja juu ya viwanja vingine vyenye offer na hata hati miliki kwa madai eti huu ni mradi.

Nauliza kutoka kwa watu wenye taaluma ya mambo haya, Je hii ni sawa? Nini maana ya mchoro kupitishwa ikiwa baadhi ya watu au taasisi zitadai haziutambui? Je ni hatua zipi wananchi tunaweza kuchukua/

Mkuu huo mchoro wa awali ulisainiwa na nani? Kisheria hamna upimaji unaoweza kufanyika juu ya upimaji mwingine, hii inawezekana tu iwapo upimaji na TP ya kwanza ilikuwa nullified, ilitenguliwa, na hii ni lazima ifanyike kisheria na kimaandishi. Hebu muwabane hao wapimaji wanaokuja sasa hivi wawaeleze kwa kina. Hati ya ardhi inaweza kutenguliwa Tanzania ila ni Rais ndio mwenye mamlaka hayo kama katengua wawaambie pia. Ila ndugu yangu mambo ya mjini nayo ni makubwa, usishangae kusikia hiyo TP ya kwanza ilikuwa ya 'vishoka' tu pale wizarani!
 
Eneo letu lina mchoro wa kina uitwao TP Drawing No 1195 iliyopitishwa tarhe 19 Oktoba 1996, na ambao umekuwa ikitumika kupima viwanja eneo hili. Hivi karibuni wamejitokeza watu kutoka Wizara ya ardhi wanandai hawaitambui TP Drawing hiyo na wanapima viwanja juu ya viwanja vingine vyenye offer na hata hati miliki kwa madai eti huu ni mradi.

Nauliza kutoka kwa watu wenye taaluma ya mambo haya, Je hii ni sawa? Nini maana ya mchoro kupitishwa ikiwa baadhi ya watu au taasisi zitadai haziutambui? Je ni hatua zipi wananchi tunaweza kuchukua/

hilo eneo liko wapi? au ni kwembe?

kuna kesi kama hizo zimetokea ila wananchi walienda pale wizarani kuwaona wakubwa (mpaka katibu mkuu) wakiwa na hizo documents. haiwezekani kulipima upya eneo lenye mipaka (beacons) na watu wana hati miliki.
miaka hii kuna ufisadi kila kona msilale!
 
1465571884250.jpg
 
Back
Top Bottom